Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 68
  • Huruma za Kimungu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Huruma za Kimungu
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Mwige Yehova Katika Kuonyesha Huruma
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2017
  • “Huruma Nyororo ya Mungu Wetu”
    Mkaribie Yehova
  • Mwe Wenye Huruma Nyororo
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1994
  • Iweni Wenye “Huruma Nyororo”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2007
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 68

Wimbo 68

Huruma za Kimungu

(Wakolosai 3:12)

1. Sisi Wakristo halisi,

Tuonyeshe huruma

Wapenzi pia wageni,

Na tusiowajua.

Na Mwalimu Yesu

Alifundisha hivyo

Wazi kwa mufano.

Shangwe wasikiao.

2. ‘Samaria safarini

Akienda Yeriko.

Kaona ’Yahudi chali;

Aliyeshambuliwa.’

Alisaidia,

Pasipo ubaguzi.

Ni upendo huo.

Amri za Mungu hizo.

3. Huo ndio ujirani,

Kusaidia watu.

Mungu hufadhili wote,

Atoa jua, mvua.

Anahurumia!

Yehova ni Rafiki.

Anazo fadhili.

Anatumainika.

4. Na tuwape majirani

Chakula na mavazi.

Lakini tuwape haja

Ya muhimu zaidi.

Wajue ukweli,

Ufalme na adili

Tweleze jirani

Mungu awabariki.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki