Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 186
  • Furaha Yetu ya Kimungu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Furaha Yetu ya Kimungu
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Shangwe​—Sifa Inayotoka kwa Mungu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2018
  • Tumikia Yehova kwa Shangwe ya Moyo
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1995
  • Shangwe
    Ufahamu wa Kina wa Maandiko
  • Kutumikia Yehova Kwa Shangwe
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1991
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 186

Wimbo 186

Furaha Yetu ya Kimungu

(Wafilipi 4:4)

1. Kusudi tuvumilie

Tuwe na furaha.

Kuwa na furaha hii

Tuwe na imani.

Si furaha ya muda tu;

Yatakwa daima.

“Furahini”! “Furahini”!

Ndivyo tunasoma.

2. Twafurahi kwa kujua:

Mungu na Mwanaye;

Sisi mashahidi wao;

Tu umoja nao.

Ni furaha siku moja

Wote ’tasifu Yah,

Waliomo kaburini

Kufuata Mungu.

3. Ili kukuza furaha

Tuhudumu Mungu,

Tulinde mioyo yetu

Tuepuke baya.

Tuwe macho siku kutwa

Kumusifu Mungu;

Tufikiri yajengayo,

Tuepe mabaya.

4. Tujaposongwa nuruni

Tunapotembea,

Furaha ndiyo thawabu

Kwa kumuhudumu.

Hututambulisha kuwa

Watumwa wa Mungu.

Lazima furaha hii

Tuwape wengine.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki