Wimbo Na. 109
Mshangilieni Mzaliwa wa Kwanza wa Yehova!
Makala Iliyochapishwa
1. Mushangilieni,
Muzaliwa wa kwanza.
Mufalme muteule,
Baraka ataleta.
Atawala kwa haki,
Fahari, heshima.
Naye atatetea,
Enzi ya Yehova.
(KORASI)
Mushangilieni,
Muzaliwa wa kwanza!
Wote na wamusifu,
Sasa anatawala!
2. Mushangilieni,
Muzaliwa wa kwanza.
Aliyetufidia;
Tupate musamaha.
Bibi-arusi wake,
Ametayarishwa.
Utawala wa Mungu,
Ushike hatamu.
(KORASI)
Mushangilieni,
Muzaliwa wa kwanza!
Wote na wamusifu,
Sasa anatawala!