Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 35
  • Kuthamini Subira ya Mungu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kuthamini Subira ya Mungu
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Kuthamini Subira ya Mungu
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Twashukuru kwa Ajili ya ‘Tumaini Letu la Furaha’
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1981
  • “Toeni Shukrani Kuhusu Kila Jambo”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2019
  • Je, Utaitumia Hii Fursa?
    Huduma Yetu ya Ufalme—2014
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 35

Wimbo Na. 35

Kuthamini Subira ya Mungu

Makala Iliyochapishwa

(2 Petro 3:15)

1. Yehova u Mungu mukuu,

Wapenda uadilifu.

Nao uovu wazidi,

Twajua wahuzunika.

Watu wadai wakawia.

Wakati wako utafika.

Twakutegemea Wewe.

Asante kwa subira Yako.

2. Kwako miaka elfu moja,

Ni kama siku moja tu.

Siku yako kuu yaja.

Kamwe haitakawia.

Japo uovu wachukia,

Wapenda watu wakitubu.

Twangojea siku yako.

Tukilisifu jina lako.

(Ona pia Luka 15:7; 2 Pet. 3:8, 9.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki