Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 113
  • Kulithamini Neno la Mungu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kulithamini Neno la Mungu
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Kulithamini Neno la Mungu
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Nafsi Kulingana na Biblia
    Ni Nini Hutupata Tunapokufa?
  • Je, Una Nafsi Isiyoweza Kufa?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2007
  • “Toeni Shukrani Kuhusu Kila Jambo”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2019
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 113

Wimbo Na. 113

Kulithamini Neno la Mungu

Makala Iliyochapishwa

(Wafilipi 2:16)

1. Ee, Yehova Baba, Twakushukuru,

Kwa kutupa Neno lako la nuru!

Roho iliongoza, walioandika.

Twafundishwa nawe, twafaidika.

2. Nalo Neno lako, latuvutia.

Manabii walilizingatia.

Tujifunzapo Neno, tunaimarishwa;

Tunatiwa nguvu; twaburudishwa.

3. Neno lina nguvu, lapenya moyo,

Nalo hugawanya nafsi na roho.

Hutambua fikira na makusudio.

Huturekebisha tuhekimike.

(Ona pia Zab. 119:16, 162; 2 Tim. 3:16; Yak. 5:17; 2 Pet. 1:21.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki