Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 88
  • Watoto—Amana Kutoka kwa Mungu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Watoto—Amana Kutoka kwa Mungu
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Watoto–Amana Kutoka kwa Mungu
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Unaweza Kuwatumaini Ndugu Zako
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2022
  • Kuwatumaini Wengine Ni Muhimu kwa Maisha Yenye Furaha
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2003
  • Wachungaji​—⁠Zawadi Katika Wanadamu
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 88

Wimbo Na. 88

Watoto—Amana Kutoka kwa Mungu

Makala Iliyochapishwa

(Zaburi 127:3-5)

1. Baba apatapo mwana

Na mama anapopata mwana,

Amana kubwa wamepata,

Si yao tu, peke yao.

Zawadi toka kwa Yehova.

Yeye ndiye chanzo cha uhai.

Anawaagiza wazazi,

Wapate kuwa na hekima.

(KORASI)

Mumepata amana kubwa,

Ni urithi toka Kwake.

Basi ninyi, wafundisheni,

Maagizo ya Yehova.

2. Amuri zote za Mungu—

Ziwe katika mioyo yenu.

Wafunzeni wana na binti;

Hiyo ndiyo kazi yenu.

Wafundishe barabarani,

Mulalapo na muamukapo.

Wazikumbuke sikuzote,

Uaminifu wadumishe.

(KORASI)

Mumepata amana kubwa,

Ni urithi toka Kwake.

Basi ninyi, wafundisheni,

Maagizo ya Yehova.

(Ona pia Kum. 6:6, 7; Efe. 6:4; 1 Tim. 4:16.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki