Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 112
  • Mungu Mkuu, Yehova

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Mungu Mkuu, Yehova
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Mungu Mkuu, Yehova
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • ‘Baba Yenu Ni Mwenye Rehema’
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2007
  • Wewe Utaiga Rehema Ya Mungu?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1991
  • “Njia Zake Zote Ni Haki”
    Mkaribie Yehova
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 112

Wimbo Na. 112

Mungu Mkuu, Yehova

Makala Iliyochapishwa

(Kutoka 34:6, 7)

1. Mungu mukuu, unastahili,

Kusifiwa zaidi,

U Mungu mwenye haki.

Ufalme wako, ni wa upendo;

U Mungu wa milele.

2. Unasamehe, Unarehemu,

Walio kama wewe.

Walio na rehema.

Fadhili zako, Unaonyesha,

Kwa yote ufanyayo.

3. Viumbe vyote, na vikusifu;

Jina na litakaswe,

Masuto lisipate.

Ufalme uje, ututawale,

Ulimwenguni pote.

(Ona pia Kum. 32:4; Met. 16:12; Mt. 6:10; Ufu. 4:11.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki