Wimbo Na. 87
Sasa Tumekuwa Mwili Mmoja
Makala Iliyochapishwa
1. Hatimaye, mfupa wangu,
Nyama yangu, nina mwenzangu.
Mungu amenipa mwenzi,
Ninayemupenda.
Tumekuwa, mwili ’moja,
Alivyokusudia Mungu.
Mume na muke pamoja,
Familia moja.
Yehova twamutumikia.
Atufundishe,
Kupendana kikweli.
Tuapavyo, iwe hivyo.
Tupate shangwe na furaha.
Tumuheshimu Yehova,
Sikuzote uwe wangu.
(Ona pia Mwa. 29:18; Mhu. 4:9, 10; 1 Kor. 13:8.)