Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 38
  • Mtupie Yehova Mzigo Wako

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Mtupie Yehova Mzigo Wako
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Mtupie Yehova Mzigo Wako
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Mtupie Yehova Mzigo Wako
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Kimbilia Ufalme wa Mungu!
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Tafadhali Sikiliza Sala Yangu
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 38

Wimbo Na. 38

Mtupie Yehova Mzigo Wako

Makala Iliyochapishwa

(Zaburi 55)

1. Ee Yehova nakuomba,

Usijifiche mbali.

Sikiliza, unijibu,

Ili nisisumbuke.

(KORASI)

Mutupie Yah muzigo;

Atakutegemeza wewe.

Hataacha utikiswe,

Atakuimarisha.

2. Kama ningekuwa njiwa,

Ningeruka nyikani,

Mbali na watu waovu,

Watendao jeuri.

(KORASI)

Mutupie Yah muzigo;

Atakutegemeza wewe.

Hataacha utikiswe,

Atakuimarisha.

3. Nitamulilia Mungu,

Nitamwomba ulinzi.

Tujapopingwa na watu,

Anatutia nguvu.

(KORASI)

Mutupie Yah muzigo;

Atakutegemeza wewe.

Hataacha utikiswe,

Atakuimarisha.

(Ona pia Zab. 22:5; 31:1-24.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki