Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 42
  • “Mwasaidie Wale Walio Dhaifu”

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Mwasaidie Wale Walio Dhaifu”
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • “Mwasaidie Walio Dhaifu”
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • “Ni Lazima Msaidie Wale Walio Dhaifu”
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • “Imewapasa Kuwasaidia Wanyonge”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1983
  • ‘Iweni na Upendo Miongoni Mwenu Wenyewe’
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2003
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 42

Wimbo Na. 42

“Mwasaidie Wale Walio Dhaifu”

Makala Iliyochapishwa

(Matendo 20:35)

1. Kila mumoja wetu

Dhambi hutenda.

Hata hivyo,

Yehova Anatupenda.

Ni mwenye rehema,

Upendo fadhili.

Tusaidie wote,

Wastahimili.

2. Paulo kakazia,

Sote dhaifu.

Mungu katoa

Mwana Mukamilifu.

Walio dhaifu

Ni wa Mungu pia.

Twawahangaikia,

Wapate njia.

3. Tusiwe wachambuzi,

Wafarijike.

Tuonyeshe fadhili,

Waimarike.

Tuwe na bidii,

Tuwatie moyo;

Na kuwategemeza,

’Siwe wachoyo.

(Ona pia Isa. 35:3, 4; 2 Kor. 11:29; Gal. 6:2.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki