Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 119
  • Njooni! Mburudishwe

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Njooni! Mburudishwe
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Njooni! Mburudishwe
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Kujitayarisha Kuhubiri
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Kujitayarisha Kuhubiri
    Mwimbieni Yehova—Nyimbo Mpya
  • Lazima Tuwe na Imani
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 119

Wimbo Na. 119

Njooni! Mburudishwe

Makala Iliyochapishwa

(Waebrania 10:24, 25)

1. Leo ulimwengu umepotoka;

Haumutambui Mungu.

Mwongozo ufaao twahitaji,

Peke yetu hatuwezi.

Mikutano yetu huburudisha;

Imani huimarisha.

Inatuchochea kutenda mema,

Inatufariji sana.

Hatutaacha amri za Yehova;

Wala kumutumikia.

Twafunzwa mema kwenye mikutano;

Ili tuipende kweli.

2. Mungu ajua mahitaji yetu;

Shauri lake tutii.

Tununue wakati wa kuwapo,

Kwenye mikutano yote.

Wanaume wamwogopao Mungu,

hutufunza njia zake.

Ndugu na dada zetu wa kiroho,

Hututegemeza sana.

Twatazamia wakati ujao,

Kuona wapendwa wetu.

Twafundishwa maisha yafaayo,

Kwa hekima toka juu.

(Ona pia Zab. 37:18; 140:1; Met. 18:1; Efe. 5:16; Yak. 3:17.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki