Wimbo Na. 145
Kujitayarisha Kuhubiri
Makala Iliyochapishwa
Mapema.
Asubuhi
Siku ya kuhubiri.
Manyunyu nayo,
Yaanza kunyesha.
Natamani kukaa nyumbani,
Nilale.
(KORASI)
Nitafanikiwa kwa sala,
Na matayarisho,
Nao mtazamo mzuri,
Ni muhimu.
Malaika watuongoza.
Yesu Wanatii.
Bega kwa bega na rafiki,
Sitashindwa.
Furaha
Tutapata
Tukijitahidi tu.
Bidii yetu
Yehova aona,
Akumbuka upendo wetu
wa kweli.
(KORASI)
Nitafanikiwa kwa sala,
Na matayarisho,
Nao mtazamo mzuri,
Ni muhimu.
Malaika watuongoza.
Yesu Wanatii.
Bega kwa bega na rafiki,
Sitashindwa.
(Ona pia Mhu. 11:4; Mt. 10:5, 7; Luka 10:1; Tito 2:14)