Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • snnw wimbo na. 146
  • Mlinitendea Mimi

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Mlinitendea Mimi
  • Mwimbieni Yehova—Nyimbo Mpya
  • Habari Zinazolingana
  • Mlinitendea Mimi
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Sala ya Mtu wa Hali ya Chini
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Sala ya Mtu wa Hali ya Chini
    Mwimbieni Yehova
  • Nipe Ujasiri
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova—Nyimbo Mpya
snnw wimbo na. 146

Wimbo Na. 146

Mlinitendea Mimi

Makala Iliyochapishwa

(Mathayo 25:34-40)

  1. Kondoo wengine, wanatumikia

    bega kwa bega na ndugu za Kristo.

    Wanapowasaidia

    ndugu zake

    Yesu anasema atawalipa.

    (KORASI)

    “Mlipowatunza, mlinitunza.

    Kwa kuwafariji, mwanifariji.

    Bidii yenu kwa ajili yao.

    Mnapotenda mema yoyote.

    Mnanitendea mema na mimi.”

  2. “Wakati wa njaa, wakati wa kiu

    nilichohitaji, mliandaa.”

    “Bwana tulikufanyia

    hayo lini?”

    Na ndipo Mfalme atawajibu:

    (KORASI)

    “Mlipowatunza, mlinitunza.

    Kwa kuwafariji, mwanifariji.

    Bidii yenu kwa ajili yao.

    Mnapotenda mema yoyote.

    Mnanitendea mema na mimi.”

  3. “Ushikamanifu mmenionyesha,

    kwa kuhubiri na kwa kazi njema.”

    Kisha Yesu atabariki

    kondoo:

    “Rithini dunia pia uzima.”

    (KORASI)

    “Mlipowatunza, mlinitunza.

    Kwa kuwafariji, mwanifariji.

    Bidii yenu kwa ajili yao.

    Mnapotenda mema yoyote.

    Mnanitendea mema na mimi.”

(Ona pia Met. 19:17; Mt. 10:40-42; 2 Tim. 1:16, 17.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki