Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Septemba uku. 5
  • Tumeumbwa kwa Njia ya Ajabu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Tumeumbwa kwa Njia ya Ajabu
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo (2016)
  • Habari Zinazolingana
  • ‘Tumeumbwa Kwa Njia ya Ajabu’
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2007
  • Yehova Atujua Vema!
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1990
  • Je! Kweli Mungu Anakujua?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1993
  • Mungu Anakuelewa
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo (2016)
mwb16 Septemba uku. 5

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | ZABURI 135-141

Tumeumbwa kwa Njia ya Ajabu

Daudi alitafakari kuhusu mambo yanayothibitisha sifa nzuri za Mungu zinazoonekana kupitia uumbaji Wake. Alitumia maisha yake yote kumtumikia Yehova.

Mwanamke mja-mzito akiwa na mume wake katika nyakati za Biblia

Daudi alipotafakari kwa kina sana kuhusu uumbaji, alichochewa kumtukuza Yehova:

139:14

  • “Nitakusifu kwa sababu nimeumbwa kwa njia ya ajabu yenye kuogopesha”

139:15

  • “Mifupa yangu haikufichwa kwako nilipofanyizwa katika siri, nilipoungwa katika sehemu za chini kabisa za dunia.”

139:16

  • “Macho yako yalikiona kiini-tete changu, na katika kitabu chako sehemu zake zote zilikuwa zimeandikwa”

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki