Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 34
  • Kuishi Kulingana na Jina Letu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kuishi Kulingana na Jina Letu
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Kuishi Kulingana na Jina Letu
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Kuishi Kulingana na Jina Letu
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Kazi Yetu ya Upendo
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Kazi Yetu ya Upendo
    Mwimbieni Yehova
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 34

Wimbo Na. 34

Kuishi Kulingana na Jina Letu

Makala Iliyochapishwa

(Isaya 43:10-12)

1. Yah Mweza Yote, wa tangu milele,

Mungu wa haki, ’pendo na nguvu,

Chanzo cha kweli na hekima yote,

Mutawala Mwenye Enzi kuu.

Tunafurahi kukutumikia,

Kweli ya Ufalme twatangaza!

(KORASI)

Ni pendeleo kuwa Mashahidi.

Ee, Na tuishi kwa jina letu!

2. Tufanyapo kazi bega kwa bega,

Upendo unatuunganisha,

Kufunza kweli na kukutukuza;

Hutupa sisi furaha tele.

Twaitwa kwa jina lako Yehova;

Twapendelewa kukupa sifa!

(KORASI)

Ni pendeleo kuwa Mashahidi.

Ee, Na tuishi kwa jina letu!

(Ona pia Kum. 32:4; Zab. 43:3; Dan. 2:20, 21.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki