Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Novemba uku. 6
  • Kutaniko Jipya la Kikristo Lajaribiwa

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kutaniko Jipya la Kikristo Lajaribiwa
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
  • Habari Zinazolingana
  • Mashahidi Mpaka Kwenye Sehemu Ya Mbali Zaidi Ya Dunia
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1981
  • Tembea Katika Hofu kwa Yehova
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1990
  • Stefano—“Amejaa Kibali cha Mungu na Nguvu”
    “Kutoa Ushahidi Kamili” Kuhusu Ufalme wa Mungu
  • Yehova Anataka Nini Kutoka Kwetu?
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
mwb18 Novemba uku. 6
Stefano akipigwa mawe huku Sauli akiunga mkono jambo hilo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | MATENDO 6-8

Kutaniko Jipya la Kikristo Lajaribiwa

6:1-7; 7:58–8:1

Wajane waliozungumza Kigiriki waliokuwa wamebatizwa hivi karibuni na waliokaa Yerusalemu kwa muda mrefu kuliko walivyokusudia walikuwa wakibaguliwa. Je, ukosefu huo wa haki uliwakwaza, au je, walimngojea Yehova kwa subira arekebishe mambo?

Je, walipunguza huduma yao baada ya Stefano kupigwa mawe na mateso makali kuwapata Wakristo waliokuwa Yerusalemu, hivi kwamba wakalazimika kutawanyika kotekote katika maeneo ya Yudea na Samaria?

Kwa msaada wa Yehova, kutaniko hilo jipya la Kikristo lilivumilia na kusitawi sana.—Mdo 6:7; 8:4.

JIULIZE, ‘Ninakabilianaje na majaribu?’

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki