Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • th somo la 16 uku. 19
  • Uwe Mwenye Kujenga na Mwenye Kutia Moyo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Uwe Mwenye Kujenga na Mwenye Kutia Moyo
  • Boresha Uwezo Wako wa Kusoma na Kufundisha
  • Habari Zinazolingana
  • Kujitahidi Kugusa Moyo
    Boresha Uwezo Wako wa Kusoma na Kufundisha
  • Uwe Mwenye Kujenga na Kutia Moyo
    Faidika na Elimu ya Shule ya Huduma ya Kitheokrasi
  • Shauku
    Boresha Uwezo Wako wa Kusoma na Kufundisha
  • Kuonyesha Wasikilizaji Manufaa ya Habari Unayozungumzia
    Boresha Uwezo Wako wa Kusoma na Kufundisha
Pata Habari Zaidi
Boresha Uwezo Wako wa Kusoma na Kufundisha
th somo la 16 uku. 19

SOMO LA 16

Uwe Mwenye Kujenga na Mwenye Kutia Moyo

Andiko lililotajwa

Ayubu 16:5

MUHTASARI: Kazia fikira mambo yanayoweza kuboresha hali na yanayowachochea wasikilizaji.

JINSI YA KUFANYA HIVYO:

  • Uwe na mtazamo mzuri kuelekea wasikilizaji wako. Jikumbushe kwamba waabudu wenzako wanataka kumpendeza Yehova. Hata ukilazimika kutoa shauri, kwanza jitahidi kuwapongeza kutoka moyoni.

    Dokezo linalofaa

    Maneno yako yachochewe na upendo si hasira. Tabasamu kwa uchangamfu ili kuwastarehesha wasikilizaji.

  • Usizungumzie sana matatizo. Zungumzia mambo yasiyopendeza ikiwa tu mambo hayo ni muhimu katika hotuba. Kwa ujumla, hotuba yako inapaswa kuwa yenye kutia moyo.

  • Tumia vizuri Neno la Mungu. Kazia kile ambacho Yehova amefanya, anachofanya, na atakachofanya kwa ajili ya wanadamu. Wachochee wasikilizaji wawe na tumaini na ujasiri.

KATIKA HUDUMA

Mwone kila mtu kuwa mwabudu wa Yehova wa wakati ujao.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki