Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo na. 120
  • Igeni Upole wa Kristo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Igeni Upole wa Kristo
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Igeni Upole wa Kristo
    Mwimbieni Yehova
  • Upole​—Unatunufaishaje?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2020
  • Upole Ni Sifa Muhimu Sana ya Kikristo
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2003
  • Onyesheni “Upole Wote Kuelekea Watu Wote”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2003
Pata Habari Zaidi
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj wimbo na. 120

WIMBO NA. 120

Igeni Upole wa Kristo

Makala Iliyochapishwa

(Mathayo 11:28-30)

  1. 1. Bwana Yesu hakuwa na kiburi;

    Hakujitakia makuu kamwe.

    Alikuwa na jukumu muhimu;

    Lakini kajishusha sikuzote.

  2. 2. Nyote mlio na mahangaiko,

    Ichukueni nira yake Kristo.

    Mtapata burudisho la nafsi;

    Bwana wetu ana tabia-pole.

  3. 3. ‘Nyote ni ndugu,’ kasema Bwanetu.

    Msiwe mkitafuta makuu.

    Wapole wana thamani kwa Mungu;

    Watairithi dunia milele.

(Ona pia Met. 3:34; Mt. 5:5; 23:8; Rom. 12:16.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki