Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • g 1/15 uku. 3
  • Uhai Ulianzaje?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Uhai Ulianzaje?
  • Amkeni!—2015
  • Habari Zinazolingana
  • Uhai Ulianzaje?
    Habari Zaidi
  • Uumbaji au Mageuzi?—Sehemu ya 2: Kwa Nini Uchunguze Nadharia ya Mageuzi?
    Vijana Huuliza
  • Mageuzi Yajaribiwa
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1994
  • Je, Fundisho la Mageuzi Linapatana na Biblia?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2008
Pata Habari Zaidi
Amkeni!—2015
g 1/15 uku. 3
Darubini

HABARI KUU

Uhai Ulianzaje?

Ungejibuje?

UHAI ULITOKANA NA ․․․․․.

  1. MAGEUZI

  2. UUMBAJI

HUENDA watu wanaopenda sayansi wakachagua “mageuzi,” na wanaopenda dini wakachagua “uumbaji.”

Lakini, majibu hayawi hivyo siku zote.

Rama Singh, profesa katika Chuo Kikuu cha McMaster nchini Kanada anasema: “Nadharia ya mageuzi imepingwa si na wanadini peke yao bali pia na watu wengi wenye elimu.”

Kwa mfano, Gerard, profesa wa elimu ya wadudu alifundishwa nadharia ya mageuzi shuleni. Anasema hivi: “Nilipofanya mitihani niliandika majibu ambayo maprofesa walitaka lakini sikuamini mambo hayo.”

Kwa nini baadhi ya wanasayansi hawakubali kuwa uhai ulitokana na mageuzi? Ili kujibu swali hilo, acheni tuchunguze maswali mawili yanayowatatanisha watafiti wengi: (1) Uhai ulianzaje? na (2) Viumbe vilitoka wapi?

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki