Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • scl kur. 91-92
  • Toba

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Toba
  • Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
scl kur. 91-92

Toba

Kwa nini wanadamu wote wanahitaji kumgeukia Yehova Mungu na kutubu?

Ro 3:23; 5:12; 1Yo 1:8

Tazama pia Mdo 26:20

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Lu 18:​9-14—Yesu anatoa mfano unaokazia kwamba tunahitaji kuungama dhambi zetu na kumwomba Mungu msaada

    • Ro 7:​15-25—Ingawa ni mtume na mwanamume mwenye imani ya pekee, Paulo anahangaishwa na mwelekeo wake wa dhambi

Yehova anahisije kuhusu wale wanaotubu?

Eze 33:11; Ro 2:4; 2Pe 3:9

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Lu 15:​1-10—Yesu anatumia mifano kuonyesha kwamba Yehova na malaika wanashangilia mtenda dhambi mmoja anapotubu

    • Lu 19:​1-10—Zakayo, mkuu wa wakusanya kodi na mnyang’anyi, anatubu na kubadili njia zake, anasamehewa na kupata wokovu

Tunaonyeshaje kwamba tumetubu kikweli?

Eze 18:​21-23; Mdo 3:19; Efe 4:​17, 22-24; Kol 3:​5-10

Tazama pia 1Pe 4:​1-3

Ujuzi sahihi unamsaidiaje mtu aliyetubu kikweli?

Ro 12:2; Kol 3:​9, 10; 2Ti 2:25

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Mdo 17:​29-31—Mtume Paulo anawaeleza Waathene kwamba kuabudu sanamu ni ishara ya kukosa ujuzi na anawasihi watubu

    • 1Ti 1:​12-15—Kabla ya kupata ujuzi sahihi kumhusu Yesu Kristo, mtume Paulo alitenda dhambi nzito kwa sababu ya kukosa ujuzi

Kutubu kuna umuhimu kadiri gani?

Mk 1:​14, 15; Lu 24:​45-47; Mdo 2:38; 17:30; 20:21

Kwa nini tunaweza kuwa na uhakika kwamba tukitubu, Yehova atatusamehe hata kama tunafanya dhambi mara nyingi?

Isa 1:18; Gal 6:1; 1Yo 2:1

Yehova anawatendeaje watu wanaoungama dhambi zao na kubadili njia zao?

Zb 32:5; Met 28:13; 1Yo 1:9

Tazama pia “Rehema”

Tunajuaje kwamba kutubu kunahusisha mengi zaidi ya kusema samahani au kujuta?

2Nya 7:14; Met 28:13; Eze 18:​30, 31; 33:​14-16; Mt 3:8; Mdo 3:19; 26:20

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • 2Nya 33:​1-6, 10-16—Licha ya kwamba alikuwa mwovu kwa muda mrefu, Mfalme Manase anatubu kikweli kwa kujinyenyekeza, kwa kuendelea kusali, na kubadili njia zake

    • Zb 32:​1-6; 51:​1-4, 17—Mfalme Daudi anaonyesha toba kwa kujutia kutoka moyoni dhambi aliyomtendea Yehova, kwa kuungama, na kwa kusali

Wale waliotutendea dhambi wanapotubu, kwa nini tunapaswa kuwasamehe?

Mt 6:​14, 15; 18:​21, 22; Lu 17:​3, 4

Tazama pia “Kusamehe”

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki