Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • scl kur. 37-38
  • Kunywa

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kunywa
  • Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
scl kur. 37-38

Kunywa

Je, Biblia inakataza kunywa kileo kwa kiasi?

Zb 104:​14, 15; Mhu 9:7; 10:19; 1Ti 5:23

  • Simulizi la Biblia linalohusika:

    • Yoh 2:​1-11—Katika karamu ya ndoa, Yesu anafanya muujiza wake wa kwanza, kwa ukarimu anabadili maji kuwa divai nzuri, na hivyo anawasaidia bwana na bibi harusi wasiaibike

Tunaweza kupata madhara gani tukinywa kupita kiasi au tukiwa walevi?

Met 20:1; 23:​20, 21, 29-35; Isa 28:7; Ho 4:11

Watumishi wa Mungu wana maoni gani kuhusu ulevi?

1Ko 5:11; 6:​9, 10; Efe 5:18; 1Ti 3:​2, 3

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Mwa 9:​20-25—Kwa sababu Noa amelewa, mjukuu wake anapata fursa ya kutenda dhambi nzito

    • 1Sa 25:​2, 3, 36—Nabali, mwanamume mkali na mpumbavu, anafanya mambo mengi mabaya kutia ndani ulevi

    • Da 5:​1-6, 22, 23, 30, 31—Mfalme Belshaza anakunywa divai kupita kiasi na kumtukana Yehova Mungu; hivyo anauawa usiku huohuo

Kwa nini tunahitaji kuwa waangalifu kuhusu kiasi tunachokunywa hata ingawa hatulewi?

Met 23:20; Isa 5:11; Lu 21:34; 1Ti 3:8

Tazama pia 1Pe 4:3

Tunawezaje kumsaidia Mkristo mwenzetu anayepambana na tatizo la kunywa kupita kiasi?

Ro 14:​13, 21; 1Ko 13:​4, 5; 1Th 4:4

Tazama pia “Kujizuia”

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki