PETRO (Mtume)
(Pia huitwa Kefa; Simioni; Simoni)
agizo la Yesu “lisha kondoo wangu” (Yoh 21): w06 5/1 17; cl 298
ajaribu kumlinda Yesu: cf 41, 43; w02 9/1 10; w98 4/1 14-15; w98 4/15 29-30; ct 155
akaa Yopa kwa muda mfupi: w11 6/1 18; bt 69; w02 3/1 17
alipa kodi ya hekalu kwa kutumia sarafu iliyokuwa mdomoni mwa samaki: w08 2/1 15
samaki ambaye Petro alivua: g02 2/22 18-19
alivyotenda Yesu alipotaka kumwosha miguu: w10 4/1 21-22
amkana Yesu: w12 8/15 22-23; w10 4/1 21, 23-24; w08 1/1 26; lr 157-161; w99 12/15 14
asamehewa: w10 4/1 24-26; w08 6/1 23; w07 7/15 19; cf 168; cl 297-299; w00 6/15 19
kabla ya hapo alijivuna kwamba hangemkana Yesu kamwe: w10 4/1 22
apewa mashauri: w10 4/1 21-22
atembea juu ya bahari: w12 8/1 29; w09 9/15 8; w09 10/1 24-25
“funguo za ufalme” (Mt 16:19): w10 1/1 26; bt 56; w08 5/15 30; rs 362-363
ufunguo wa kwanza: bt 22, 56; w98 2/1 11
ufunguo wa pili: bt 56
Petro akabidhiwa funguo za ufalme ijapokuwa alifanya makosa: w98 8/15 14
hakuwa mkuu wa mitume: w11 8/1 24-25; rs 361
hakuwa papa: w11 8/1 24-26; rs 360-364
huduma huko Babiloni: bt 30; g04 5/8 14
kama aliwahi kuwa Roma: rs 363-364
habari kumhusu yaeleweka wazi zaidi (2011): w11 8/1 25
Kornelio awa Mkristo: w10 9/1 30-31; bt 69-72; bm 25; my 109; w03 3/15 21; w02 3/1 17-18
maoni ya Petro yabadilika: w11 4/15 21-22
Petro atayarishwa kupitia maono: bt 69; od 164-165
Wakristo jijini Yerusalemu wakubali (Mdo 11): bt 72-73
maelezo: w10 1/1 24-28; w10 4/1 21-26; w09 10/1 21-25; bt 30; w03 3/15 18-19
mafundisho ya Kanisa Katoliki:
alikuwa mkuu wa mitume: w11 8/1 24-25
papa ni mrithi wa Petro: w11 8/1 24-26
majina: w09 2/1 15; w09 10/1 22; bt 30
malaika amfungulia Petro lango la gereza: bt 12, 77-80; lr 64-65
aenda nyumbani kwa Maria, mama ya Marko: w10 3/15 6-7; bt 80, 118; w08 2/1 24
sala ya kutaniko yajibiwa: w12 1/15 11-12
wanafunzi wamdhania Petro kuwa “malaika wake” (Mdo 12:15): bt 81; w05 6/1 31
maoni yake kumhusu Yesu: ct 149-151, 153-157
miujiza:
amponya mwombaji kilema hekaluni: bt 28-29
‘mtu asiye na elimu na wa kawaida tu’ (Mdo 4:13): w08 5/15 30-31; w08 9/1 15
mvuvi: w09 10/1 27; bt 30
Paulo amshauri kuhusu kosa: bt 12
Paulo amtembelea (m. 36 W.K.): w07 6/15 16-17
Pentekoste 33 W.K.: bt 25-26; be 220; w96 9/15 8-9
Petro atambua uhitaji wa kumweka mtu mwingine kuwa mtume badala ya Yuda Iskariote: bt 18-19
Petro si “mwamba” (Mt 16:18): w11 8/1 24-25; w10 1/1 28
maoni ya Agostino: w11 8/1 24; rs 361
roho takatifu ilivyomwongoza Petro: w11 12/15 23
sifa:
kiasi: bt 29
uhodari: bt 29
ujasiri: w06 5/15 14
ushikamanifu: w12 4/15 10-11; w10 1/1 24-28
swali la Yesu, “Je, unanipenda kuliko hawa?” (Yoh 21:15): w10 4/1 25; bt 30; w08 4/15 32
ushirikiano pamoja na—
Marko: w10 3/15 8-9; bt 118; w08 2/1 26
Silvano: w99 2/15 29
utendaji unaotajwa katika Matendo: gl 32
utu: bt 30; w03 8/15 4-6
Yesu alipogeuka sura:
Petro apendekeza kusimamisha mahema: w10 1/1 27
Yesu amfundisha Petro kusamehe: w10 4/1 21-26
Yesu amkemea: w10 1/1 27; w08 10/15 25; w07 2/15 16-17; w05 3/15 11; w02 8/15 27
Yesu amponya mama-mkwe wa Petro: ct 150
Yesu amwita awe mfuasi wake: w09 10/1 22-24
Yesu azungumza na Petro kuhusu kulipa kodi ya hekalu (Mt 17): cf 111-112; w06 4/15 15