SHETANI
(Ona pia Gogu; Nyoka; Shetani, Ibada ya; Tengenezo la Shetani)
(Kuna vichwa vidogo: Manukuu; Tabia)
abishana na Mikaeli kuhusu mwili wa Musa: cf 28-29
afichuliwa: w07 6/1 5-6
amshambulia Yesu: w07 12/1 28
amshawishi Yesu: w11 1/15 23-24; w11 5/15 17-18; w09 5/1 26; w07 12/1 26-27; cf 59-61, 103; lr 52-56; w02 8/15 11, 26-27
ametumia vishawishi hivyohivyo mpaka leo: w08 11/15 29-31; cf 61-62; w02 10/15 12
amwahidi Yesu falme zote: w10 4/15 23; w01 10/15 5-6
maana ya “tendo la ibada”: w08 9/15 27; re 228
anafananishwa na—
Lewiathani (Isa 27:1): w01 3/1 21
mfalme wa Tiro (Eze 28): w05 10/15 23-24
mwindaji wa ndege (Zb 91:3): w07 10/1 26-30; w01 11/15 16
nyoka mkubwa (Zb 91:13): w07 10/1 26; w01 11/15 19-20
simba (Zb 91:13): w07 10/1 26
ana “uwezo wa kusababisha kifo” (Ebr 2:14): w11 3/15 25; w08 10/15 31-32; w06 1/15 27; w03 7/1 30; w99 9/1 5
atambulishwa: g 2/07 12-13; rs 269
atupwa kutoka mbinguni: re 180-183, 186
“ana kipindi kifupi cha wakati” (Ufu 12:12): w99 10/1 4
“tayari ameanguka kama umeme” (Lu 10:18): w11 9/1 8-9; w08 3/15 31-32; w04 8/1 28
wakati alipotupwa: w09 5/15 18
Ayubu ajaribiwa na Shetani: w11 5/15 17; w10 2/15 19-21; w09 4/15 3-6; bm 9; w06 11/15 4-5; bh 116-117, 119; lr 208-211; w02 8/15 25, 27-28
kama Yehova alizungumza moja kwa moja na Shetani (Ayu 1, 2): w06 3/15 14
dhambi: w97 7/15 5-6
Edeni: w05 11/15 4-5
amshawishi Hawa: w11 1/1 12; w11 5/15 16-17; bm 5; lv 192; bh 61-62; w04 9/1 14-15; cl 278; w01 7/1 19; la 22-23; w99 4/15 16-17
maoni ya kwamba nyoka alikuwa na miguu: w07 6/15 31
nyoka alivyowasiliana na Hawa: w01 11/15 27
simulizi la Biblia si hekaya: w11 1/1 7-8
jinsi alivyokuja kuwapo: w11 3/1 21; w11 9/1 4; w07 3/15 26; g 2/07 12-13; w05 11/15 4-5; bh 28-29; rs 271-272; rq 8
aliasi: w11 3/1 21; w07 6/1 4; lr 48-51; ip-2 68-69
jitihada za Shetani za kuharibu tengenezo la Yehova: re 183-186
‘akokota sehemu ya tatu ya nyota za mbinguni’ na kuzitupa duniani (Ufu 12:4): re 178-179
“alimtesa yule mwanamke” (Ufu 12:13): re 183-184
‘alitapika maji kama mto’ (Ufu 12:15): re 184-186
‘amesimama mbele ya yule mwanamke’ (Ufu 12:4): re 178-179
ampa mnyama-mwitu mamlaka (Ufu 13:2): re 186-189, 227-228
‘apigana vita na wale waliobaki wa uzao wa mwanamke’ (Ufu 12:17): re 185-186
atiwa katika abiso (Ufu 20:1-3): re 287-288, 291
‘atupwa ndani ya lile ziwa la moto’ (Ufu 20:10): re 293-295
“mataji saba” (Ufu 12:3): re 178
“pembe kumi” (Ufu 12:3): re 178
“vichwa saba” (Ufu 12:3): re 178
vita mbinguni (Ufu 12:7-12): re 180-183
kama anasababisha ugonjwa: w02 8/1 7; w99 9/1 3-7
kama anaweza kujua mawazo ya wanadamu: lv 190; w03 6/15 30
kifungo cha Shetani: w12 9/15 7; re 287-288
aachiliwa kutoka katika abiso: re 291-292, 294-295
hatafungwa duniani: rs 274-275
labda Shetani ndiye anayezungumziwa (Isa 24:21, 22): ip-1 268-270
kilichofanya aruhusiwe kuendelea kuwapo: g 12/10 10-11; rs 272-273, 352-353
“kiti cha ufalme cha Shetani” (Ufu 2:13): re 42; w03 5/15 13
kuamini kwamba Shetani ni kiumbe halisi: w02 10/15 4-6; w01 9/1 3-4
maoni ya Kanisa Katoliki: g02 2/22 20
‘kumkabidhi mtu kwa Shetani’ (1Ko 5:5; 1Ti 1:20): w08 7/15 26-27; w06 11/15 27
kumpinga Shetani: w12 5/15 27; w10 11/1 17; rk 28-29; lv 183-195; w07 6/1 7; w06 1/15 26-30; w05 11/15 7; w02 10/15 8-13; w01 9/1 6-7
kumshinda Shetani: re 182-183
kupigana na Shetani: w04 6/1 15-16
‘kusimama imara kumpinga’ (Efe 6:11): w06 1/15 30; w04 9/15 12-14
“mpingeni Ibilisi” (Yak 4:7): g 8/10 21; w08 11/15 27-31; w06 1/15 30; g98 9/8 26-27
ushawishi wa kufanya dhambi: g98 9/8 26-27
kusali ili kukombolewa kutokana na (Mt 6:13): g 2/12 13; w10 10/1 8; w09 2/15 18; w06 1/15 28-29; w04 2/1 16-17; w04 9/15 6-7
‘kutomfuata Shetani’ (1Ti 5:15): w11 7/15 18-19
kutomlaumu Shetani kwa dhambi: g99 4/22 30; g98 9/8 26-27
kutomwiga Shetani: w06 1/15 21-25
kutomwogopa Shetani: lv 184-185; w06 1/15 26-27
kutoshindwa akili na Shetani (2Ko 2:10, 11): w06 1/15 29
kuwafundisha watoto kumhusu Shetani: lr 48-51
maelezo: w11 9/1 3-9; w10 12/1 5-6; w07 3/15 26-30; g 2/07 12-13; w06 1/15 21-30; w05 11/15 4-7; od 189-190; rs 269-275; w02 10/15 3-14; ol 10-11; w01 9/1 4-7; rq 8-9
kwa Waislamu: rk 24-25
majina: w10 11/15 25; w06 1/15 21; rq 8
Ibilisi: w11 7/15 18; rs 269, 271
jina la awali: w07 6/1 4
Lusifero si jina lake: w02 9/15 30
Shetani: g 2/07 13; rs 269, 271-272
“mambo mazito ya Shetani” (Ufu 2:24): re 51-52
maoni ya kwamba alilipwa fidia: w02 10/15 5
maoni yasiyo sahihi kumhusu Shetani:
Shetani ni mtumishi wa Mungu: w11 9/1 5-6
Shetani si kiumbe bali ni uovu tu: w11 9/1 6-7
masuala aliyozusha: w06 2/15 16-17; od 189-190; rs 272-273, 352-353; w03 1/15 4; w02 10/1 5-7; w02 10/15 7; cl 139
enzi kuu ya ulimwengu wote: w10 1/15 24-32; w10 11/15 25; w07 9/15 5-6; g 11/07 19-20; w06 8/15 21-22; jd 33; g 11/06 6; bh 29-31, 109-111; w04 8/15 13; kp 15; cl 120-121, 123; wt 50-51; jv 10-12, 18
masuala yalijibiwa na Yesu: w10 8/15 11; cf 64, 174-175; bh 51; cl 143-145, 151
uaminifu wa Mungu: w03 8/1 9
uhuru wa kujiamulia mambo bila kumtegemea Mungu: w05 11/1 5-6; w04 4/15 5-6; w03 1/15 4-5; w01 10/15 4-5
utimilifu: w10 11/15 25-26; w09 4/15 4-7; bm 9; w08 12/15 4-6; w06 8/15 21-22; w06 11/15 4-7; re 182; bh 51, 116-117, 119-124; w03 1/15 4-6; lr 208-211; cl 123-125; wt 51; ct 173-175; jv 12, 18
mbinu anazotumia kuwapotosha wanadamu: w12 8/15 20-29; w09 5/1 20; lv 185-195; w05 11/15 5-7; bh 120-121; w04 9/15 11-12; w02 8/15 25-28; wt 72-75; w99 4/1 21; rq 8-9
anapotosha tamaa za asili: wt 73-74
anawafanya watu wafikiri wana shughuli nyingi mno: rk 28-29
anawasadikisha watu kwamba hawahitaji sana chakula cha kiroho: w97 4/15 29
anawasadikisha watu kwamba hawapendwi au hawafai: w12 7/1 20; w10 2/15 19-21; w05 8/1 29-30; w05 9/15 26-28; w04 2/15 19-20
anawashawishi watu walegeze msimamo: w12 8/15 22-23; w99 9/1 5-6
anawashushia watu heshima: w06 8/1 4-5
anawatenga watu na wengine: w10 7/15 12-13
burudani: w11 3/15 9; lv 189-190; w07 10/1 28-29; w05 9/1 29-30; w02 10/15 9-11; wt 74
dhihaka: w05 8/15 16
dini za uwongo: w10 11/1 17; wt 72-73
hasira ya mtu binafsi: w10 5/15 30; w10 9/15 20; w06 1/15 25
kudhoofisha bidii kwa ajili ya kumtumikia Yehova: w12 4/15 16-17
kujihisi kuwa na hatia: w12 8/15 23-24
kupenda vitu vya kimwili: w12 8/15 25-27; w11 3/15 9-10; w11 7/15 14; w07 10/1 27-28
kutumia usemi usiothibitiwa: w12 8/15 20-22
kuupenda ulimwengu: w06 1/15 24-25
kuvunjika moyo: kp 25
mambo yanayokengeusha: w05 8/15 16
matatizo: w06 8/15 21
mateso: w06 1/15 27-28; w05 8/15 16-17
muziki: wt 75
ngono: w08 4/15 13-14; lv 97-99; w07 10/15 13-14; wt 73-74; w01 2/1 11-12
propaganda (habari zenye kupotosha): w10 2/15 19-21
shaka: w10 7/15 13-14; lv 188-189; cl 278; w01 2/1 9-11; w01 7/1 19
tamaa ya kujiamulia mambo bila kumtegemea Mungu: w08 6/15 20-21
tofauti za kibinafsi (kuudhiwa na utu wa mtu mwingine): w07 10/1 29-30
udanganyifu: w04 2/15 16, 19-20
udhaifu wa mtu: lv 187; w06 8/15 26-27; w05 11/15 6-7
upinzani wa familia: rk 28
vishawishi: w11 1/15 23-24; w10 7/15 14-15; w08 11/15 29-31; cf 61-62; w02 10/15 12
vitisho: w10 7/15 14
woga: w12 8/15 22-23; w10 7/15 12-15; w07 10/15 12-14
zoea la kuwasiliana na pepo: w12 3/1 20-22; lv 187-191, 194-195; g 7/08 10-11; jd 108-110; w05 11/15 6; wt 74-75
nguvu: w07 3/15 27-28
sanamu ya ukumbusho kwa Shetani (Hispania): g02 7/8 31
shambulio la mwisho baada ya Utawala wa Miaka Elfu (Milenia): re 291-295
Shetani ni kiumbe halisi, si nguvu tu: w11 9/1 4-6; w10 12/1 8; w09 10/1 15; w08 1/15 30; g 2/07 12; w06 1/15 21; w05 11/15 3-5; rs 269-271; w02 10/15 3, 6-7; w01 9/1 4-6
“sinagogi la Shetani” (Ufu 2:9; 3:9): re 38, 60, 62-64; w03 5/15 12
uasi: bh 29-31; w04 4/15 4-5; ct 117
hukumu juu ya Shetani ni hakikisho la kwamba uasi hautaruhusiwa tena wakati ujao: w08 4/1 23
sababu: w04 4/15 4-5
uharibifu: re 293-295; od 190
‘kuteswa milele’ (Ufu 20:10): w08 4/1 22-23; w08 11/1 7; re 293-294; rs 157-158
uvutano juu ya serikali za wanadamu: w12 5/1 6-7; w11 9/1 7-8; rs 266, 273
ampa mnyama-mwitu mamlaka (Ufu 13:2): re 186-189, 227-228; wt 71
anayaongoza mataifa kwenye Har-Magedoni: re 230-233; rs 88
kupitia roho waovu walio washirika wake: w11 9/1 7-8
Manukuu
ikiwa kuna mtu anayetilia shaka kama kuna Shetani, basi tukutane kwenye kaburi la ujumla nchini Rwanda: w11 9/1 3
Tabia
alianzisha ibada ya sanamu: ip-2 68-69
anasababisha kuteseka: bh 108; w03 9/1 9; ct 171-175; w97 10/1 7-8
anawachukia waabudu wa kweli: w12 8/15 25; w04 8/15 12-13
anaweza kuangamizwa: rs 158, 274
hana huruma: w03 4/15 13-14
kiburi: w07 7/15 8-9; w06 1/15 26; rs 247-248
majivuno: w05 10/15 23-24
“malaika wa nuru” (2Ko 11:14): w04 2/15 4-5; w02 3/1 11
mchambuzi: w99 4/15 16-17
mchongezi: w06 1/15 21-22
mdanganyifu: w04 2/15 16, 19-20
ya vijana: w12 7/15 14-15; w08 6/15 20-21; w99 11/1 10; w97 12/1 5-6
mshtaki: w02 10/15 13-14; w99 4/15 17
anafanya kile ambacho analaumu kwamba Yehova anafanya: w05 9/15 28
“mtawala wa ulimwengu”: w12 5/1 6-7; w11 9/1 3-9; re 187-189; g 11/06 5-6; bh 31-32; g05 4/22 9; w04 4/15 14-15; rs 341-342; w01 10/15 5-6
atashindwa kabisa: w10 1/15 24-28
mungu wa ulimwengu huu: g05 4/22 9
muuaji: w11 3/15 25; w06 1/15 22; w01 9/1 6
mwalimu: w07 5/15 14
mwasi-imani: w09 4/15 5-6; w06 1/15 23
mwizi: lr 127
mwongo: w07 2/1 4-5; w06 1/15 22; w03 8/1 9, 13; w01 9/1 5-6
uwongo wa kwanza: g97 2/22 17-18
“nyoka” (Mwa 3:14, 15): re 10, 286-295
atapondwa kichwa: w12 9/15 7; re 14, 181, 286-288, 293-295; w04 11/15 30; w98 2/1 17-18
atia jeraha kwenye kisigino cha uzao wa mwanamke: re 14; w97 6/1 8-9
“nyoka wa zamani” (Ufu 12:9): re 10, 287
Shetani ndiye anayesababisha uovu: w09 4/15 8-9; w07 6/1 4-6; w06 1/1 5-6
“simba anayenguruma” (1Pe 5:8): w12 8/15 17-18; lv 183-185, 197; w04 9/15 12-13; g99 1/22 19
tamaa ya kuabudiwa: w09 5/1 20
ujanja: lv 192-193