MAKUTANIKO
(Ona pia Halmashauri ya Utumishi ya Kutaniko; Kutaniko la Kikristo; Majumba ya Ufalme; Mikutano [ya Kutaniko]; Watumishi wa Huduma; Wazee)
gharama: od 121, 129-130; km 8/03 4-5; rq 29
kama inafaa kuchangisha pesa kwa kupanga mauzo ya bidhaa au sherehe fulani: km 12/06 7
hesabu za kutaniko: od 129-130
“kukopa” pesa za kutaniko: jd 105-106
mwandishi wa kutaniko anazisimamia: km 10/98 1
ukaguzi: km 3/08 3; od 130
idadi: yb12 55; yb11 51; yb10 31; yb09 31; yb08 31; yb07 31; yb06 31; yb05 31; yb04 31
idadi ya makutaniko yaliyoanzishwa katika mwaka wa utumishi wa 2005: w10 5/15 24; yb06 5
idadi ya makutaniko yanayoanzishwa kila mwaka: jv 318, 322, 325
kufikia mwaka wa 1914: w12 8/15 6
ongezeko (1976-1992): jv 114-115
ongezeko (1980-1987): jv 545
idara ya magazeti:
wakati unaofaa wa kuwapa wahubiri matoleo mapya: km 3/09 4
idara ya vitabu:
vitabu (machapisho) vya zamani: km 4/11 3
vitabu vingi mno akibani: km 12/05 8
Jumba la Ufalme linapotumiwa na makutaniko zaidi ya moja: od 121-122; w04 4/15 22; km 8/03 4
mikutano: w05 12/1 26; od 122
Ukumbusho: km 1/06 7; km 1/05 7; km 1/04 3; km 1/01 3; km 1/97 3
kama nembo za mashirika ya kisheria ya Mashahidi zinaweza kutumiwa: km 4/09 3
karne ya kwanza: w07 4/15 22-23; od 23-24
mahali pa kufanyia mikutano jijini Yerusalemu: w10 3/15 6-7; bt 80, 118
nyumbani kwa watu: w07 4/15 23
kuamua kutaniko linalofaa kujiunga nalo: km 11/02 7
familia za wahamiaji: w02 10/15 23-25
kuanzisha kutaniko jipya: od 72-73
ombi: od 72
kuchangia hali nzuri ya kutaniko: w09 7/15 30-31
kufarijika na kutiwa moyo kutanikoni: w96 1/15 22-23
kuhamia kutaniko lingine:
barua ya kutambulisha: od 88; km 10/98 1
wakati wa kuhama: km 10/99 7
kukaa karibu na kutaniko: w10 6/15 6-10; bt 22-24; w06 5/15 25
kupata kutaniko wakati wa kusafiri: g98 6/22 17
kusema kweli kutanikoni: w09 6/15 18
kutenda kwa adabu kutanikoni: be 200
kutenda kwa upole kutanikoni: w03 4/1 23-25
kutoacha kushirikiana na kutaniko: w08 11/15 19; w07 4/15 28-29; cf 62-64
kuwahubiria watu katika lugha inayozungumzwa na watu wachache tu: km 7/12 4-7; km 6/08 6; od 107-108; km 7/03 4
kuwasaidia—
familia za mzazi mmoja: g 11/12 4-6; km 6/99 3
ndugu na dada wazee: w08 8/15 18-21; w04 5/15 19-20; w03 6/1 5; w02 2/1 28
vijana: w09 9/15 6
wagonjwa: w10 5/15 19; w09 9/15 20; w02 2/1 28
“wavulana wasio na baba”: jd 149-151; km 11/02 8
wazazi wazee wa watumishi wa wakati wote: w98 8/1 29
wenye uhitaji: od 132; jv 304-307
lugha ya ishara (viziwi): w09 8/15 24-27; yb07 22-23, 154; w04 7/1 11; yb04 9; w02 3/15 25; km 6/01 1; g98 9/8 25
maagizo kuhusu hali ya dharura: km 1/07 4; km 2/97 7
maazimio: od 129; km 8/03 4-5
madarasa ya kusoma na kuandika: km 10/11 4
makutaniko saba katika Ufunuo: w09 1/15 30; w07 8/15 11; re 18, 24, 28-32; w02 3/15 14
chati “Kigezo cha Yesu cha Shauri”: re 34
nyota (malaika) za makutaniko: w10 9/15 27; re 28-29, 33, 54-55, 136
picha: re 23
ramani: w07 8/15 9; re 7, 28; w03 5/15 10; gl 33
ujumbe mbalimbali kwa makutaniko: w07 2/1 20-21; w07 9/1 14-15; re 24, 28-73; w03 5/15 10-20; w02 10/1 20-22; w99 12/1 10, 15-16
vinara vya taa: re 28-29
makutaniko ya lugha zinazozungumzwa na watu wachache tu katika eneo: od 105, 107-108, 112
kutumika katika makutaniko kama hayo: w07 10/1 21-22; w06 3/15 17-20
makutaniko yanafananishwa na—
vyombo vyenye samaki wazuri (Mt 13:48): w08 7/15 20-21
vyumba vya ndani vyenye usalama (Isa 26:20): w09 5/15 8; w01 3/1 20-21; ip-1 278-279, 282-283
makutaniko yanamsifu Yehova: w07 4/15 23-24
makutaniko yanayotajwa katika Biblia: w07 4/15 22-23
mambo ya kushughulikiwa kutanikoni: km 11/04 3
kuwazoeza ndugu: w11 11/15 30
mambo yaliyoonwa:
Brewery Gulch (Marekani): g96 7/22 22-24
watu wasio Mashahidi washukuru kwa faraja inayopatikana kutanikoni: w98 7/15 32
mamlaka kutanikoni: lv 43-44, 46-49; w06 4/1 19-20; od 161-162; w00 8/1 6-7; w98 9/1 15-16
maombi ya vitabu:
jukumu la mwandishi wa kutaniko: km 10/98 1
maombi ya haraka: km 7/03 4
matatizo:
ibada ya sanamu: re 43-44
kuacha kushirikiana na kutaniko kwa sababu ya matatizo: w08 11/15 19; w07 4/15 28-29; cf 62-64
kupoteza upendo wa kwanza: re 34-35
kutojali: re 54-56; w03 5/15 16-17
madhehebu (farakano): re 44-45; w03 5/15 14
mahusiano yaliyovunjika: w99 11/15 29-30; w98 9/1 12-13
majadiliano (mabishano): w00 5/1 10-12
matatizo yasiposhughulikiwa ifaavyo: w97 3/15 16-17
mfano mzuri wa Akaiko, Fortunato, na Stefana: w96 6/15 28-30
migawanyiko: w02 5/15 27; w97 8/1 19
porojo: w02 11/15 17-18; w96 8/1 19
Tito ni mfano kuhusiana na kushughulikia matatizo: w98 11/15 29-31
tofauti za kitabaka: w02 11/15 16; w97 11/15 13-14
uasi-imani: w03 5/15 14-15
uchambuzi: w00 8/1 13-14
uchungu wa moyo: w10 6/15 18; w10 10/15 14-15; lv 33-34; w06 8/15 27; jd 112-114; w01 8/15 27; w01 9/15 13-14; w99 10/15 13-14
ukosefu wa maadili: re 43-44, 48-52, 54; w03 5/15 13-14
uvuguvugu: re 66-72
uvutano wa Yezebeli: re 48-54; w03 5/15 16
uvutano wenye kupotosha: re 43-44, 48-54; w97 9/1 15-18
walimu wa uwongo: w97 9/1 13-18
mikutano: g 8/10 6-7; w09 2/1 20-23; od 60-73; w02 11/15 7-8
mabadiliko kuanzia 2009: yb09 4; km 10/08 1, 7
mikutano ya utumishi wa shambani: km 8/09 6-7; w08 7/15 10; km 10/08 1
mipango ya usimamizi: w07 4/15 27; od 23-25; w01 6/1 14-15
maandiko yaeleweka wazi zaidi (1938): w06 2/15 28; w02 7/1 17; ip-2 317; w99 2/1 18
mipango yaboreshwa hatua kwa hatua: w06 2/15 26-28
mipango ya kitheokrasi (inayopatana na Biblia): od 23-25; jv 217-221
ndugu waliowekwa rasmi wanapokosekana: lv 44
mpango wa kusikiliza mikutano kwa kutumia simu: km 11/09 11
msaada na faraja zinapatikana kutanikoni: w09 7/15 30-31; w04 5/1 21-22; w04 8/15 20-21; w03 7/15 4-6; w99 5/15 25-28
mtazamo kuhusu mipango ya kutaniko: w10 3/15 4-5; cf 62-64; w97 8/1 9
mtazamo kuwahusu wazee Wakristo: w12 10/15 15; w11 6/15 24-28; lv 46-49; od 38-39
kuwa na hakika kwamba maamuzi yao yanafaa: re 50-51
mwenendo mtakatifu kutanikoni: w96 8/1 19
ndugu na dada wazee: w04 5/15 10-15; km 12/02 1
wanaoishi katika makao ya kuwatunzia wazee: w08 4/15 25-28; w08 8/15 29; km 4/08 4
ramani ya eneo: km 8/00 2
ripoti mbalimbali:
Orodha ya Vitabu (S-18): km 12/05 7
roho ya kutaniko: w12 2/15 18-22; w12 10/15 15-16; w08 7/15 26-27
sheria ya Kristo kutanikoni: w96 9/1 21-22
sheria za kutaniko: w96 9/1 20-21
shughuli za biashara kutanikoni: jd 106-107; od 143
uhusiano katika: g 8/12 14-15
kufahamiana vizuri: km 5/04 4; km 9/98 1
kusaidiana: w11 3/15 21; w09 4/15 9; w09 9/15 18-20; km 11/04 1
msamaha: w12 10/15 16
urafiki: w09 10/15 17-21; w07 1/1 11; g 7/07 11-12; w04 10/1 17-18
umoja: bt 114-115
unyenyekevu kutanikoni: km 9/03 1
unyofu katika mambo yanayohusu kutaniko: lv 165-166, 168
uongozi wenye bidii wa Yesu: w10 9/15 27
upendo kutanikoni: w09 7/15 14; w09 11/15 20-24; w07 9/1 30; w06 12/1 27-28; w04 10/1 16; lr 222-226; wt 144-150; w97 8/1 14-19
‘kupanuka’ (2Ko 6:13): w09 11/15 20-22; w07 1/1 9-11; w04 10/1 16-17; km 5/04 4
usafi:
wajibu wa wote: cf 41
ushikamanifu kwa kutaniko: w96 3/15 17-19
ushirikiano na wengine kutanikoni: lv 31-34; g05 8/22 26-27; w04 8/15 20-21; km 8/01 1
‘kuwatia alama’ wanaotembea bila utaratibu (2Th 3:14, 15): od 150-151; w99 7/15 29-31
mazungumzo: w09 11/15 21-22; be 65, 203-205
ndugu na dada ambao wamekomaa kiroho: w10 1/15 20; w09 7/15 10-11; w07 9/1 30
ndugu na dada wapya: km 11/04 1
unatia moyo: w96 1/15 22-23
wazee: km 12/02 1
Wakristo wanahitaji kukutana: g 8/12 14-15
Wanafunzi wa Biblia: w12 8/15 6; jv 204-213, 239
wanawake: rs 402-404
‘kukaa kimya’ (1Ko 14:34): w12 9/1 9; w06 3/1 28-29
makutaniko yenye dada pekee: od 73
mapendeleo: w07 1/15 5-6
mikutano: g 7/10 29
wakati ambapo si lazima wanawake wafunike kichwa: lv 210-211
wanapotakiwa kufunika kichwa: lv 44, 210; rs 403-404; w02 7/15 27
wanawake wenye uvutano mbaya: re 48-51, 53-54
watumishi wa huduma: od 54-58
wazee Wakristo: w07 4/15 27; od 27-54
mratibu wa baraza la wazee: km 11/08 3
waangalizi wa vikundi: km 8/09 6; km 10/08 1
ziara ya mwangalizi wa mzunguko: km 10/08 1; od 46-49
gharama za mwangalizi wa mzunguko: od 49-50
ziara ya mwangalizi wa wilaya: od 50-51