MUNGU
(Ona pia Kazi ya Mungu; Miungu; Ujitoaji-Kimungu; Uumbaji; Yehova)
(Kuna vichwa vidogo: Imani ya Kwamba Haiwezekani Kujua Kama Kuna Mungu [Wagnostiki]; Imani ya Kwamba Hakuna Mungu [Waatheisti]; Manukuu; Mwongozo na Maandalizi ya Mungu; Sifa za Mungu)
ahadi za Mungu:
kwa Abrahamu: w09 7/1 31
“amani ya Mungu” (Flp 4:7): w09 7/1 11-12; w08 3/15 14; g01 7/22 14-15; w00 7/15 6
awafanya kuwa wana—
Wakristo watiwa-mafuta: w09 4/1 10-11; w05 12/1 29
Baba: g 10/08 25
jina la Mungu: w12 6/1 16-17; w10 7/1 3-8; w09 2/1 6; bm 4; w08 7/1 30; w08 9/1 4-5; bh 12-14, 195-197; g04 1/22 3-12; lr 26-31; w02 5/15 5-6; cl 7-11; ol 8-9
kinachofanya aruhusu uovu uwepo: w11 1/1 9, 11; w11 5/1 16-17; w07 9/15 3-7; rs 352-355; wt 60-69; g01 10/8 22-23; jt 27
kinachofanya Mungu aruhusu watu wateseke: w12 7/1 6-7; w12 11/1 8-9; w11 5/1 16-17; w09 2/1 8; w09 12/1 6; w08 2/1 27; w06 5/1 11-12; g 11/06 3-9; bh 106-114; rs 124-131, 216-217; g04 3/22 12-14; w03 1/1 3-7; w03 5/1 3, 5-6; w03 9/1 10-12; w02 10/1 5-7; w01 5/15 4-8; w99 11/15 4-5; g99 2/8 4-6; ct 173-177; w97 2/15 4-6; g96 10/22 18-20
kama Mungu anaingilia kati watu wanapoteseka: g 11/06 6-7; w03 10/1 3-7
kuteseka hakumaanishi kwamba Mungu anatenda isivyo haki: wt 60, 63-66
Mungu hasababishi kuteseka: w07 5/15 22-23; w07 8/15 27-28; bh 107-109; w04 7/1 3-5; g04 3/22 13
simulizi la maisha la mtu aliyepata kujua sababu ya kuteseka: w06 5/1 8-13
kuamini kwamba kuna Mungu: g 11/11 3-9; g 2/10 22-25; g 9/06 3; w03 2/15 3; w03 12/1 4-7; w00 6/15 26-28
gazeti New Scientist: rs 215
kitabu “Dieu existe? Oui” (“Je, Kuna Mungu? Ndiyo”): rs 215
kumsadikisha mwenye shaka: cf 115-116
kutetea imani: yp2 297-303
miujiza pekee haijengi imani: w97 3/15 3-7
msingi wa kuamini kwamba kuna Mungu: w08 1/1 17; w04 10/1 10-11; rs 215-216
uhusiano kati ya kumwamini Mungu na kuwa na kusudi maishani: ct 184-191
visingizio vya kutoamini kwamba kuna Mungu: g 2/10 24; w09 10/1 11-13; g 2/09 3; g 9/06 3; rs 216-218; w03 12/1 4-6; km 12/99 8; ct 7-9
wanasayansi: w12 7/1 4; g 2/10 23; g 11/10 4-5; g 9/06 3, 23; w04 11/15 9; rs 215; g04 6/22 3-6, 8-9; g99 2/8 3; ct 73-74, 185; g97 11/22 29
kumjua Mungu: w10 11/1 30; w09 5/1 5-6; w08 9/1 3-7; bh 12-15; w03 2/15 3-7, 32; w02 12/15 8-10; la 18-19; gf 5-7; rq 5
kama wote wana nafasi sawa za kupata kumjua Mungu: w10 8/1 22
kunavyohusika katika ibada ya kweli: jd 57-62, 66-67
semi za mfano katika Biblia zinasaidia: w09 5/1 14
‘kumlipa Mungu vitu vya Mungu’: w10 7/1 23-24; w96 5/1 15-16
kumpenda Mungu: w09 10/1 10; w06 12/1 20-24; gf 26-27
inavyowezekana kumpenda Mungu: w96 6/15 3-7
kwa akili yote: w07 3/1 30
kumtambua Mungu wa kweli: w03 5/1 3-5; w02 5/15 3-7; g99 2/8 7-9
kumtii Mungu: w10 3/1 30-31
kumtukuza Mungu: w10 1/15 21-23; w04 6/1 14-19; w04 10/1 9-14
kumwogopa Mungu: w09 10/1 10; w07 3/1 25-29; w06 8/1 21-30; w02 2/15 30-31; w02 12/15 10-11; be 274; cl 43-46; w01 12/1 14-23
inafaa kumwogopa Mungu mwenye upendo: g98 1/8 26-27
kunaleta furaha: w09 3/15 25-26
kunapatana na upendo wa Mungu: rs 427; cl 98-99; w01 7/1 5-6; w01 12/1 16-17
manufaa: w07 5/15 19; jd 93-95; w05 9/15 13-15; w00 3/1 30
mtu anaacha kutetemeshwa na (kuwaogopa) wanadamu: jd 93-94
“mwogopeni Mungu na kumpa utukufu” (Ufu 14:7): re 204-205; w05 10/1 23-24; kp 12
ni jambo linalofaa: w09 3/1 13-14
Shifra na Pua: w99 10/1 32
kusudi la Mungu:
kuihusu dunia: w11 4/1 16-17; w11 7/1 4-7; w10 1/1 22-23; w10 12/1 25; rk 15; w08 4/1 10-11; w08 9/1 27-29; g 12/08 7; g 12/07 10; w06 5/15 3-7; w06 8/15 5-7; bh 27-36; g05 4/22 10-11; w04 2/1 12; w04 10/1 4-6; rs 73; ip-2 88-90; g99 6/22 10-11
kuwahusu wanadamu: w10 2/1 5; g 12/09 9; w08 2/1 6; g 12/08 3-9; w07 1/15 23; w07 10/1 16-17; w06 7/1 5; rs 328-330; wt 61; gu 8, 11-12, 14, 16; la 20-21; w99 4/15 7-9; g99 2/8 4-6; w98 7/15 15
kuwafundisha watoto kumhusu Mungu: w11 8/1 3-9
kuwa rafiki ya Mungu: w11 12/1 16; w10 10/1 20-21; yp2 289-296; w04 8/1 30; gf 3-31; g97 2/22 11-13
maadui wa Mungu: ip-2 414-415; gf 14
maelezo: w11 2/1 16-17; w09 2/1 3-4; bh 8-17; rs 215-221; rq 4-5
kwa Waislamu: rk 10-19
maelezo katika Biblia: g 10/08 24-25; w04 5/15 7; cl 20-21
mafundisho ya Yesu kumhusu Mungu: w10 4/1 6-7; w08 2/1 16-17
makao: g 4/11 28
mambo ambayo Mungu anawafanyia watu: w10 5/1 4-7
“mambo mazito ya Mungu” (1Ko 2:10): w07 11/1 27-31
maneno ya Kiebrania:
Elohah (Elohim): rs 378
maoni juu ya Mungu:
Mungu ni nguvu tu: la 15; w97 10/1 3
maoni ya kwamba dini zote zinawaelekeza watu kwa Mungu: w09 2/1 9; bh 144-145; ol 4-5, 19-21
maswali ambayo watu wangependa kumuuliza Mungu: w12 11/1 3; g 1/10 12; w03 5/1 3-7
matakwa: g 4/08 20-21; w97 1/15 18-22
Mungu anapoingilia shughuli za wanadamu: g 11/06 6-7; w03 10/1 4-7
Mungu hana mwanzo: w10 7/1 28; rs 217-218
Mungu hayupo kila mahali: w11 8/1 27; g 4/11 28-29; w09 2/1 5; g05 3/8 20-21
“Mungu na aonekane kuwa wa kweli” (Ro 3:4): w08 6/15 30
Mungu si—
chanzo cha matatizo: g 1/09 28-29; w04 7/1 3-5
fumbo: w11 10/1 4
mwenye kukosa haki: w11 10/1 7
mwenye kukosa huruma: g 7/11 6-7; w09 12/1 4-5; bh 9-11
mwenye kupenda kulipiza kisasi: w11 10/1 6
mwenye kusababisha maovu: bh 10; w99 5/1 28-29
mwenye ubaguzi: w09 9/1 29; w03 7/1 12
nguvu tu: g 10/10 29-30; w09 2/1 5; g05 3/8 20-21; w02 5/15 4-5; w97 10/1 3-8
Utatu: w12 3/1 23; w09 11/1 7; bh 201-204; g05 4/22 5-7; rs 219-220, 367-390; ol 25
hekima inaonekana wazi katika uumbaji: g 3/10 10; w09 4/15 15-19; w08 5/1 4-5
kilichofanya Mungu aumbe viumbe wa roho: cl 237-238; ct 87
nguvu zinaonekana wazi katika uumbaji: w11 2/15 6-7; w08 5/1 6; w03 7/1 10-11; cl 47-56
mwanadamu aliumbwa kwa mfano wa Mungu: w11 2/15 9; g 12/09 12; w08 10/1 15; w05 7/1 4-5; bh 48-49; w02 2/15 4; w02 6/1 9-10; w00 11/15 25
Mwenye Enzi Kuu: rs 373
ndoto kutoka kwa Mungu: g01 4/8 20-21
njia za kumkaribia Mungu:
agano la Sheria: w06 9/1 23-24
matakwa: w06 9/1 22
siku za wazee wa ukoo: w06 9/1 23
Wakristo: w06 9/1 24-25
Yesu anavyohusika: w09 5/15 31-32; w09 7/15 4; cf 15-22
ufafanuzi: jr 44; rs 215; w02 5/15 4
uhusiano pamoja na:
atakaa pamoja na wanadamu (Ufu 21:3): re 303
dhambi inavyouathiri: rs 57-58
kiasi ni muhimu: w12 11/1 22
kumkaribia: w11 9/1 17; rk 14; bt 145-146; w08 7/1 10; yb07 53-54; bh 15-17; w04 7/1 6-7; kp 27; w03 7/1 9-19; w02 12/15 8-18; cl 16-25, 310-319; w00 10/15 3-7
kumwona Mungu kuwa halisi: w98 9/15 21-23
‘kunyoosha mambo’ (Isa 1:18): ip-1 28-29
kuujenga: w02 10/15 16-18; w01 7/1 11; ct 186-189
kuwa na jina zuri: w97 2/15 11-13
maoni ya kwamba uhusiano wa kibinafsi pamoja na Mungu unatosha: rs 64
maoni ya kwamba wanadamu wote ni watoto wa Mungu: rs 98; wt 184-185
Mkatoliki ajifunza jinsi ya kujenga uhusiano pamoja na Mungu: w98 7/1 6
ujuzi wa mapema (ujuzi wa kimbele): w08 10/1 3; w06 6/1 21-25; rs 171-175; cl 177; ip-2 102-103; w99 8/15 16
Mungu anachagua kile anachotaka kujua mapema (kimbele): w11 1/1 14-15; w06 6/1 24-25; cl 178
utawala wa Mungu:
Mungu hatawali kupitia serikali za kibinadamu: w09 5/1 9
uthibitisho wa kwamba kuna Mungu: w12 7/1 4-5; w04 6/1 9-14; w04 10/1 10-11; rs 215-216, 390-392; g04 6/22 3-12; lr 23-24; la 15-17; g99 2/8 3; w98 5/1 3-4; ct 49-72; g97 5/8 13-17
chakula: ct 78-81
chembe: lf 5-12; rs 392; g00 8/22 7-8; g00 10/8 11; g97 5/8 5, 8-9
chembe za urithi (DNA): g 11/11 4-6; lf 13-21; g 2/10 23-24; g 12/09 7
damu: g97 5/8 5, 7
dunia: lc 4-10
jicho: g 5/11 6
kuteseka si uthibitisho wa kwamba hakuna Mungu: rs 216
sayansi haijathibitisha kwamba hakuna Mungu: g 11/10 4-6; rs 215
sheria za asili zisizobadilika: w09 3/15 21; g 12/09 5-7; g04 6/22 5, 7; g00 10/8 6-7; w98 5/1 4; w98 6/15 6; ct 16-21; g97 5/8 13
ubongo: g 2/10 24-25; rs 392; g04 8/8 11-12; la 16-17; g00 10/8 11; ct 50-66; g97 5/8 4, 15
uhai: g 11/11 7-9; lf 5-7; g 11/10 5, 9
ulimwengu (sayari na nyota): w11 2/15 6-7; g 12/09 3-8; g 11/07 8; rs 391; g04 6/22 5; g00 10/8 3-7, 11; w99 6/15 16-17; g99 6/22 6-9; ct 10-25, 79, 185; g96 1/22 6, 11-14
utaratibu katika uumbaji: w11 2/15 7-9; g 12/09 6; rs 215-216; g99 6/22 6-8; ct 24-26
utata wa viumbe hai: g04 6/22 6, 10-11
uwezo wa kuthamini uzuri au umaridadi: ct 66-68
uwezo wa wanadamu wa kufahamu mambo: g 12/09 8
uzuri wa, na aina nyingi za, mimea na viumbe hai: g97 5/8 3-4, 15
vitu vilivyo hai viliumbwa kwa akili: lc 11-17; g 3/10 10; w07 8/15 3-7
Yehova ni Mungu halisi: ct 73-84
uwongo kumhusu Mungu: w11 10/1 3-9
“vitu vyote kwa kila mtu” (1Ko 15:28): w12 9/15 12; w07 12/1 30
watoto wa: w08 9/1 7
Waroma 8:21: w12 3/15 23; jr 181; wt 184-185, 189, 191; w00 10/15 19; w98 2/15 17-19
maoni ya kwamba wanadamu wote ni watoto wa Mungu: rs 98; wt 184-185
Yehova ni Mungu wa pekee wa kweli: kp 17; be 272-275; wt 15-22; ol 8-9
kesi inayohusu ulimwengu wote itathibitisha kuwa Yehova ni Mungu: ip-2 51-54, 64-65, 70-72
Yesu anatajwa kuwa mungu: rs 219-220
jambo hili halipingi Isaya 43:10: rs 376
“Mungu Mwenye Nguvu” (Isa 9:6): rs 376; ip-1 130-131
“Mungu wangu” (Yoh 20:28): g05 4/22 9; rs 431-432
“Neno alikuwa mungu” (Yoh 1:1): w09 4/1 18-19; w08 11/1 24-25; g05 4/22 8-9; rs 431
Imani ya Kwamba Haiwezekani Kujua Kama Kuna Mungu (Wagnostiki)
kuwahubiria watu wanaoamini kwamba haiwezekani kujua kama kuna Mungu (Wagnostiki): w99 6/15 18
maelezo:
Huxley, Thomas: w08 5/1 3; ct 75
maoni ya kwamba si lazima kumwamini Mungu: w00 1/1 3
ufafanuzi: w08 5/1 3
Imani ya Kwamba Hakuna Mungu (Waatheisti)
kikundi kipya cha watu wanaoamini kwamba hakuna Mungu: g 11/10 3, 5-6
kuwahubiria watu wasioamini kuna Mungu: w99 6/15 18; km 12/99 8
kuwasaidia watu wasioamini kwamba kuna Mungu: w09 10/1 11-14
maandishi kwenye mabasi yadai kwamba hakuna Mungu (Uingereza): g 11/09 30
maelezo: g 11/10 3-7
mambo yaliyoonwa: w09 10/1 13-14; km 12/99 8
daktari wa magonjwa ya wanawake: w00 2/1 7
gazeti la Mnara wa Mlinzi na Amkeni! lathaminiwa: g99 12/8 32
hakimu mwenye uwezo wa kumwachilia mtu kwa masharti: yb11 243, 246-247
kitabu Creation: yb10 191-192; w03 8/15 29; km 12/99 8
kitabu Ujuzi: w97 10/1 6
mlemavu asiyeamini kuna Mungu: w97 1/1 4-5
mwalimu aliyefundisha dhana ya kwamba hakuna Mungu: yb10 191-192
mwalimu avutiwa sana na insha kuwahusu Mashahidi nchini Ujerumani wakati wa utawala wa Wanazi: w06 7/1 20
mwanafunzi amsadikisha mwalimu: yb04 108-110
mwanamke ambaye wazazi wake walikufa walipokuwa vijana tu: g98 6/22 32
mwanasayansi wa tiba: g96 4/22 15-16
profesa wa elimu ya mfumo wa neva: g 11/10 8-9
profesa wa falsafa: g05 12/8 28
wakati mmoja Rutherford (J. F.) hakuamini kwamba kuna Mungu: w97 10/1 6
watu wasioamini kuna Mungu wakubali kweli: w03 1/1 32; w00 6/15 27-28
mambo yanayofanya watu wasiamini kuna Mungu: w09 10/1 11-13; km 12/99 8
dini za uwongo: w09 10/1 11
masimulizi ya maisha:
Nilitawalwa na Imani Katika Mungu Nchini Ukomunisti: g96 4/22 12-18
Ujerumani: g96 9/8 28
Wakristo wa mapema walionwa kuwa watu wasiomwamini Mungu: w02 7/15 21-22
Manukuu
ili neno “Mungu” liwe na manufaa yoyote, lapaswa kueleweka kumaanisha Mungu mwenye kupendezwa: ct 185
Mungu amekuwa kama Mtu Asiye na Makao: ct 7
Mwongozo na Maandalizi ya Mungu
katika siku za mwisho: w08 10/15 11
maelezo ya Yesu kuhusu maandalizi ya Mungu (Mt 6; Lu 12): g 6/07 9; w06 1/1 20-24; w03 6/1 32; w03 6/15 31; lr 13-14; g03 9/8 27; cl 211-212; wt 102; g97 1/8 25
mtu anapopoteza kazi: w05 10/15 8-11
mwongozo na maandalizi ya Mungu kwa Wakristo: w12 7/1 22; w12 7/15 24-26; w08 9/15 11; w03 1/15 12; w02 3/1 15-16; wt 104
mwongozo na maandalizi ya Mungu kwa watumishi maskini wa Yehova: w97 9/15 3-7
ulinzi wa Yehova: w08 9/15 9; w05 11/1 18-19; w03 10/1 4-7; w02 12/15 14-16; cl 67-76; g02 4/8 12-13; g96 4/8 26-27
“Mwokoaji”: w08 9/15 3-11
visa katika Biblia:
Daudi: w08 9/15 5-6
Yeremia: jr 189-190
visa mbalimbali:
chakula cha kiroho katika nyakati ngumu: re 21; w04 3/1 27
chakula kiliandaliwa wakati ambapo kiliuzwa kwa kipimo: w07 11/1 11
daktari amtibu painia bila malipo: w01 6/1 9; jv 291
familia zenye watoto ambao ni watumishi wa wakati wote kwingineko: w06 1/1 12
familia zilizotumika katika eneo lenye uhitaji mkubwa: yb05 100, 102
hundi ya dola 81: w97 10/15 20
malipo ya uzeeni yaliyosahaulika yatumiwa kulipa hati ya uraia: w10 12/1 28
mama aliyeachwa: w06 1/1 11
mama na binti mwenye miaka 12: w08 9/15 11
mapainia: w11 9/15 4; w97 10/15 20
mapainia ambao pesa zao zilikuwa zimekwisha: yb08 244-245; w01 8/1 26-27
mtu anapoteseka kwa sababu ya kutounga mkono vita: w06 8/15 32
painia afutwa kazi kwa sababu ya kuhudhuria kusanyiko: w11 1/15 30
ulinzi: re 21
wanaotumika katika eneo lenye uhitaji mkubwa: yb10 59
wafuasi wa Yesu waitwa “Wakristo” kwa uongozi wa Mungu (Mdo 11:26): bt 74; w00 7/15 25-26; jv 149-150
Sifa za Mungu
haki: rk 12; w03 7/1 12; ct 81-84
ijapokuwa anaruhusu ukosefu wa haki: w11 10/1 7; bh 11-12
hasira:
‘hasira ya Mungu yamalizika’ (Ufu 15:1): re 215-234
“kikombe cha ghadhabu yake” (Ufu 14:10): re 209-210
hazibadiliki: w09 6/1 21-23; cl 14; w01 6/1 4; g00 6/8 16-17
hekima: rk 13; w08 5/1 4-5; w03 7/1 12-14; cl 168-228
hisia: w04 5/15 4-7; rs 217; cl 15
Mungu anawahurumia watu wanaoteseka: g 7/11 6-7
maelezo: g 10/08 24-25
mambo yote yanawezekana: w12 6/1 28-29
Mungu anamjali mtu mmoja-mmoja: w11 10/1 5; w10 10/1 19-20; w10 12/1 11; w09 2/1 8; w09 6/1 28-30; w08 2/1 10; w08 4/1 9; w05 2/1 5-6; w04 1/1 32; w04 7/1 4-7; kp 5; w97 10/1 5-6; w96 3/1 3-7
Mungu anawajali wanadamu: w11 2/1 17; w11 10/1 5; w10 5/1 3-6; rk 3; w07 1/15 21-23; g 11/06 9; rs 126-127, 216-217
“Mungu mwenye furaha” (1Ti 1:11): w09 12/15 16-17; w07 3/1 17
Mungu si nguvu tu: g 10/10 29-30; w09 2/1 5; g05 3/8 20-21; rs 217; w02 5/15 4-5; w97 10/1 4-8
nguvu: rk 12; w08 5/1 6-7; w03 7/1 10-11; cl 19-20
Roho: w10 12/1 4; w04 5/15 4
upendo: w10 1/15 26; w10 4/1 6; rk 13-14; w09 12/1 4-5; w09 12/15 25; w08 5/1 8-9; w03 7/1 14-19; cl 229-309
“Mungu ni upendo” (1Yo 4:8, 16): w03 7/1 14; w02 6/1 6; cl 14-15, 236-237; wt 16-17; w97 2/1 9-10
“Mungu wa upendo na wa amani” (2Ko 13:11): w08 9/1 5
sifa kuu: g 10/08 25
uvumilivu: g01 10/8 22-23
zimefunuliwa katika Biblia: w12 6/15 27-28; cl 18-21, 184-186; w99 6/15 21-24; ct 103-119
zimefunuliwa katika uumbaji: g 3/10 10; w08 5/1 3-6; w04 11/15 8-9; wt 17-18; w99 6/15 20-21; ct 78-84
zimefunuliwa na Yesu Kristo: w11 4/1 6-7