BABA
(Ona pia Baba wa Milele [Isaya 9:6]; Mababa wa Kanisa; Mababa wa Kimitume; Ukichwa; Waume; Wazazi)
(Kuna kichwa kidogo: Mifano Katika Biblia)
baba ambao hawajafunga ndoa: g01 2/8 30; g00 4/22 13-15; g00 5/22 13-15
kama mwanamume anapaswa kumwoa mwanamke aliyezaa mtoto wake: g00 5/22 14-15
baba anapokufa: g04 6/8 6
baba anapowakataza watoto wasihudhurie mikutano: fy 133-134
baba anavyoweza kuwahakikishia watoto kwamba anawapenda: w08 10/1 19
baba asiye mwamini: fy 133-134
baba wa kambo: w02 3/15 11; w99 3/1 3-7
baba wanaokosekana nyumbani: g04 8/22 3; g03 5/22 28; g01 7/22 30; g01 8/22 30; g00 2/8 3-11; g00 10/8 30; g00 10/22 30; g00 11/22 13-15; g00 12/22 25-27
wanaoishi nyumbani lakini watoto hawawaoni: g04 8/22 3-4
wanaotoroka wajibu: g01 2/8 30; g00 5/22 13-15
familia za mzazi mmoja: g 11/12 3-10
kuwaeleza binti kuhusu hedhi: g 5/06 11
huzuni wakati mimba ya mke inapoharibika au anapomzaa mtoto mfu: we 10
huzuni wakati mtoto anapokufa: we 3-5
kuacha familia ili kwenda ng’ambo kufanya kazi: g 5/07 10; w03 7/15 12-13
kucheza pamoja na watoto: w11 11/1 19; w08 10/1 20
kuepuka ‘kuwakasirisha watoto’ (Efe 6:4; Kol 3:21): w05 6/15 22-23; g04 11/8 27; w97 8/1 12; g96 10/22 6
kufikiria maoni ya watu wa familia: w08 3/15 7
kumfikiria mke:
kumtunza mtoto mchanga: g03 12/22 10
wake wanaofanya kazi: w08 2/1 29
kutumia wakati pamoja na watoto: w11 11/1 18-19; g04 8/22 10-11; g01 12/22 32; g99 8/22 28
kuwa baba mzuri: w08 10/1 18-21; w08 12/15 30; g05 6/8 30; g04 8/22 3-11
kuwa na uhusiano wa karibu na wana wa kiume: w11 11/1 18-20
kuzungumza na watu wa familia:
mabinti: g00 5/22 29
wana wa kiume: w11 11/1 19-20
mambo yaliyoonwa:
baba asaidiwa na mwana mwenye ugonjwa wa akili: w02 5/1 8
baba asiye mwamini atumia vitabu vya Mashahidi kuwashauri binti zake: yb08 62
baba atiwa moyo na mtoto mwenye miaka mitano: w04 8/15 32
baba avutiwa sana na picha katika kitabu Ujuzi: g99 10/22 32
baba azuiwa asimwone binti yake: w99 4/1 26
baba mzee asiye mwamini: w97 9/1 7
baba waliopinga wakubali kweli: g98 2/22 31
mchezaji wa kamari mlevi: w06 2/15 12
mtoto azaliwa na mama akafa: g96 12/22 26-27
mtu mwenye hasira kali: w05 5/15 9
mvulana mwenye miaka 12 ambaye baba yake aliacha familia: g97 5/22 19
mwana asiyetenda aketi karibu na babake anayekaribia kufa: w06 5/15 30
upinzani wa baba: yb10 234-237; g 9/08 12-14; g99 2/22 30
upinzani wa baba wapungua baada ya miaka sita: g98 6/8 18-20
uvumilivu wa binti: w03 1/1 26
maneno au matendo ya jeuri: jd 121-122
mapainia: w96 5/15 31
masimulizi ya maisha:
Yehova Alinisaidia Kukabiliana na Matatizo: w06 10/1 11-15
mfano kwa familia: g04 8/22 9-10
mfano kwa watoto: w11 11/1 18; jr 141; w08 10/1 19, 21
mifano: g04 8/22 5-7
baba aliyeacha kazi katika eneo la mbali ili arudi nyumbani kuishi pamoja na familia yake: yb07 93-94
baba aliyefanya funzo la familia licha ya shughuli za kibiashara: km 2/99 4
baba aliyewafundisha watoto akiwa gerezani: g04 8/22 9-10
baba kiziwi aliyeongoza funzo la familia: w09 11/15 30-31
baba walioacha kazi ili watumie wakati mwingi zaidi pamoja na watoto: g04 8/22 4, 6-7
familia kubwa: w99 2/15 10-12
funzo la familia: w11 8/15 6
mtumishi wa huduma: g99 11/8 30
neno la Kiaramu abba: w09 4/1 13
usawaziko kati ya majukumu ya kutaniko na wajibu wa familia: w96 10/15 20-24
wajibu wa baba: w08 4/15 18-19; g01 8/22 31; fy 185; rq 16
baba wanaopuuza wajibu wao: w99 1/1 4
funzo la Biblia la familia: w96 10/15 23
kuandika wasia kwa ajili ya familia: w98 1/15 19-22
kuiruzuku familia: w12 2/15 7; lv 116; w05 6/15 18-20; w97 8/15 19-20; w96 10/1 29-31; w96 10/15 22-23
kusimamia familia kwa njia nzuri: w96 10/15 22-23
kutia nidhamu: w08 10/1 20-21; w06 7/1 14
mambo ya fedha za familia: w09 8/1 10; w96 10/1 29-30
uhitaji wa kiroho wa familia: w05 6/15 20-22; km 11/02 5-6
wajibu wa kuwasaidia watoto kusitawisha sifa zinazofaa: w11 11/1 18-19; od 207; g05 2/8 12; g01 8/22 31
kumsaidia mwana wa kiume ajiamini: w11 11/1 20
kuwasaidia wavulana kuwa wanaume: g 12/12 18
“nidhamu na mwongozo wa akilini wa Yehova” (Efe 6:4): w12 7/15 30-31; w11 8/1 6-7; w05 4/1 15-16; w99 7/1 12
uhusiano wa karibu na mtoto: fy 54
Mifano Katika Biblia
Ayubu: w00 3/15 27
Yeftha: w99 7/1 9
Yehova: w12 7/1 19-22; w10 2/15 3-5; w10 4/1 6-7; w08 1/1 25; w08 9/1 3-7; jd 50-53; w04 2/1 8-9; rs 373-374; g04 8/22 8-9; ct 142
Baba ya Israeli la kale: ip-2 361
kubatizwa katika jina la Baba: w10 3/15 11-12; wt 113
mfano kuhusu utayari wa Mungu kuwapa watu vitu vizuri (Mt 7; Lu 11): cf 114-115; w06 12/15 22-23; w02 9/1 12
Yesu Kristo:
“Baba wa Milele” (Isa 9:6): w07 5/15 6; cf 23, 189; g 12/06 5-6; lr 192-193; ip-1 131
Yosefu (baba mlezi wa Yesu): w12 4/1 23-28