MAAGANO
(Ona pia Agano Jipya; Agano la Abrahamu; Agano la Sheria; Hati za Biashara; Mapatano; Muungano)
agano kati ya Wagibeoni na Yoshua: w04 10/15 18
“agano la amani” (Eze 37:26): w10 3/15 27-28
agano la chumvi: w05 12/1 20; g02 6/8 14
agano la kuwa kuhani kama Melkizedeki: w12 10/15 26; w06 5/15 17
“agano la ndugu” (Amo 1:9): jd 111
agano la tohara: bt 102; w07 6/1 12; w04 3/15 28
agano la upinde wa mvua: my 11; lr 241
“agano la watu” (Isa 42:6; 49:8): w09 1/15 23
agano linalowahusu wanyama (Ho 2:18): w05 11/15 20; g05 9/8 12
“agano pamoja na kifo” (Isa 28:15, 18): ip-1 293-295
agano pamoja na Wakristo watiwa-mafuta (Isa 59:21): ip-2 300-302
“agano takatifu” (Da 11:30): dp 264-265
“wale wanaoliacha” (Da 11:30): dp 265
“wale wanaotenda kwa uovu juu ya” agano takatifu (Da 11:32): dp 272
maagano kadhaa kutoka kwa Mungu: bm 7; w06 2/15 18; cl 191-194, 196-197
maandiko yaeleweka wazi zaidi:
1907: jv 629-630
1934: jv 630
Sedekia afanya agano la kuwaachilia watumwa Waebrania: jr 49-50
Agano la Ufalme Kati ya Kristo na Watiwa-Mafuta
maelezo: w06 2/15 22; w03 2/15 22; cl 197; w98 2/1 17-18; w98 2/15 16
muda ambao litadumu: w98 2/15 16
Agano la Ufalme Pamoja na Daudi
agano lenye kutegemeka: w10 4/1 20
“agano linalodumu mpaka wakati usio na kipimo kuhusu fadhili zenye upendo kwa Daudi” (Isa 55:3): ip-2 236-238
“kibanda cha Daudi” (Amo 9:11): bt 109
njama juu ya agano:
Mfalme Resini na Mfalme Peka: ip-1 104-105
uhusiano kati ya agano la Ufalme pamoja na Daudi na Uzao ulioahidiwa: w12 10/15 26; ct 137-138, 143
Yesu Kristo ni Mrithi: w10 4/1 20; w06 12/15 4-5; re 59-60