MISRI (Kutoka kwa Waisraeli)
“dhiki kuu” inafananishwa na kutoka kwa Waisraeli (Mt 24:21): w07 12/15 17-20
enzi kuu ya Yehova ilionyeshwa wazi: jv 16
Farao aliyekuwa akitawala wakati Waisraeli walipotoka Misri:
jina halikutajwa: g04 4/8 7-8
moyo wake ulizidi kuwa mgumu: w05 5/15 21
idadi ya Waisraeli waliotoka: g04 5/8 13-14
jina la Yehova lilijulikana: w05 5/15 21
“jina zuri” (Isa 63:14): ip-2 357-359
‘lilitangazwa katika dunia yote’ (Kut 9:16): w05 5/15 21; lr 29-30; wt 62-63
kusudi: w11 7/15 25
maadhimisho ya Pasaka kabla ya kutoka: bm 10
maelezo: bm 10; w07 12/15 17-18; w06 1/15 8-9; ip-2 153-154, 156; ct 123-125
masuala yaliyohusika: jv 15-16
nguzo ya moto na ya wingu: w11 4/15 3-4
ramani: gl 9
siku ya kutoka: g 5/12 17
Waisraeli hawakujua mapema siku ambayo wangetoka Misri: w98 9/15 12-13
tukio halisi:
maandishi ya Misri hayalitaji: g04 4/8 8-9
Waamaleki walikuwa wa kwanza kuwashambulia Waisraeli baada ya Waisraeli kutoka Misri: w11 12/15 19
Waisraeli walikopitia:
ilionekana kama Waisraeli hawakuwa na njia ya kutokea: g96 11/8 26-27
waepuka Ufilisti: w00 3/15 20
Waisraeli wavuka Bahari Nyekundu: w12 4/15 24-25; w09 3/15 6-7; w07 12/15 18; ct 124-125
maji ‘yagandamana’ (Kut 15:8): w04 3/15 26
tukio linaloitwa “Athari ya Musa” lagunduliwa: ct 126-127
upana wa sehemu kavu waliyovuka: w06 1/15 9
wimbo wa ushindi baada ya kutoka (Kut 15): w03 6/1 22
Yehova atenda kama Shujaa wa Vita: cl 57, 59
Wamisri ‘waachwa bila chochote’ (Kut 12:35, 36): w04 3/15 26; w99 11/1 30