Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • dx96-12
  • Utumishi wa Wakati Wote

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Utumishi wa Wakati Wote
  • Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012
Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012
dx96-12

UTUMISHI WA WAKATI WOTE

(Ona pia Betheli, Utumishi wa; Makolpota; Mapainia; Utumishi wa Kimataifa; Waangalizi Wanaosafiri; Wamishonari)

Kikundi cha Ulimwenguni Pote cha Watumishi wa Pekee wa Wakati Wote cha Mashahidi wa Yehova:

agizo la mfalme lawatambua kuwa wahudumu (Hispania) (2008): yb09 24

kushirikiana na watumishi wa wakati wote: w10 1/15 20; w09 7/15 10-11

kutowavunja moyo watumishi wa wakati wote: w04 11/15 23

kuuchagua kuwa kazi kuu maishani: yp2 313, 315-316; w07 10/1 24-25; km 6/01 4; w00 11/1 18-21; km 7/98 4

kuwaalika watumishi wa wakati wote nyumbani: bt 213; w07 9/15 10; w96 10/1 17-18

kuwatunza wazazi wazee: g04 6/8 8; w98 8/1 25-29

mambo yaliyoonwa:

furaha: w04 9/1 6-7

kazi ya muda maalumu yapatikana: w12 7/15 32; w06 6/15 14

mahitaji yaandaliwa: yb08 244-245; w06 1/1 12; w06 6/15 13

makao: w12 7/15 18-19; jv 286

mambo yanayomfanya mtu asistahili kuwa mtumishi wa wakati wote:

kumdhulumu mtoto kingono: w97 1/1 28-29

masimulizi ya maisha:

“Badala ya Dhahabu, Nilipata Almasi”: w97 3/1 20-24

‘Fadhili-Upendo Zako Ni Njema Kuliko Uhai’: w98 2/1 24-27

Hakuna Kitu Kilicho Bora Kuliko Kweli: w98 1/1 25-29

“Hamjui Uhai Wenu Utakuwa Nini Kesho”: w06 5/1 15-16; w00 12/1 24-28

Imani Yangu Yaniimarisha—Kuishi na Ugonjwa wa ALS: g 1/06 25-29; g 10/06 28

Kitu Bora Kuliko Umashuhuri wa Ulimwengu: g05 6/8 30; g04 8/22 19-23

Kuacha Ibada ya Maliki na Kuanza Ibada ya Kweli: w98 12/1 27-31

Kufaidika na Ushikamanifu wa Wapendwa Wangu: w06 9/1 8-12

Kukaza Macho na Moyo Kwenye Tuzo: w96 8/1 21-25

Kukubali Mialiko ya Yehova Huthawabisha: w01 12/1 24-29

Kumpa Yehova Kile Anachostahili: w99 10/1 22-25

Kumpendeza Yehova Ndilo Hangaikio Langu Kuu: w98 11/1 19-23

“Kuna Uzuri Upande wa Mkono Wako wa Kuume Milele”: w12 3/15 3-6

Kupata Faraja Katika “Bonde la Uvuli wa Mauti”: g98 4/8 21-24

Kutafuta Ufalme Kwanza Huridhisha na Huleta Furaha Maishani: w03 3/1 23-29

Kutimiza Ahadi Yangu ya Kumtumikia Mungu: w99 6/1 20-23

Kutoka Magereza Yenye Giza Hadi Milima ya Alps ya Uswisi: w04 6/1 24-28

Kutukuza Amani Badala ya Vita: g01 4/8 22-24

Kutumikia Chini ya Mkono Wenye Upendo wa Yehova: w96 5/1 25-29

Kutumikia kwa Roho ya Kujidhabihu: w02 3/1 20-25

Kutumikia kwa Shangwe Licha ya Magonjwa: w06 6/1 16-20

Kwa Nini Niliacha Sarakasi: g 6/07 14-15

Maamuzi Mazuri Yalileta Baraka za Kudumu: w07 1/1 12-16

Miaka 90 Iliyopita Nilianza ‘Kumkumbuka Muumba Wangu Mkuu’: w09 7/15 24-27

Miaka Sabini ya Kushika Upindo wa Nguo ya Mtu Aliye Myahudi: w12 4/15 18-21

Miaka Zaidi ya 50 ya ‘Kuvuka’: w96 11/1 22-27

Moyo Wangu Wafurika kwa Shukrani: w97 9/1 25-28

Mungu Amenionyesha Rehema: w08 7/1 26-29

Mungu Ni “Mtendaji wa Mambo Makuu”—Jinsi Nilivyotambua Jambo Hilo: w10 12/1 26-29

Naacha Jeshi Ili Nimtumikie Yehova: g 11/09 12-14

Nafurahia Sehemu Yangu ya Kufundisha Biblia Duniani Kote: w05 7/1 8-12

Namshukuru Yehova—Kupitia Utumishi wa Wakati Wote!: w00 5/1 24-28

Nashukuru Licha ya Misiba—Jinsi Biblia Ilivyonisaidia Kuvumilia: w09 6/1 18-21

Nilikombolewa Kutokana na Taabu Zangu Zote: g 11/06 21-23

Nilipata ‘Maombi ya Moyo Wangu’: w05 11/1 8-12

Nilitafuta Makosa Nikapata Kweli: w08 12/1 26-29

Nilitaka Kuwa Kama Binti ya Yeftha: w11 12/1 27-29

Nimeazimia Kuendelea Kumtumikia Muumba Wangu: w05 12/1 13-17

Nimebarikiwa kwa Kumtanguliza Mungu: g 3/09 12-15

Nimebarikiwa kwa Urithi wa Pekee: w00 10/1 24-29

Nimefurahia Kumtumikia Yehova: w11 10/15 18-22

Nimetegemezwa na Yehova Maisha Yangu Yote: w01 3/1 23-27

Nimethawabishwa kwa Kufanya Mabadiliko: w11 12/15 3-7

“Nitamlipa Yehova Nini?”: w03 12/1 24-28

Sikuzote Yehova Huwathawabisha Waaminifu-Washikamanifu Wake: w00 9/1 26-30

“Siri” Tuliyojifunza Kutokana na Utumishi Wetu Mtakatifu: w12 6/15 3-6

Tulibaki Mahali Tulipotumwa: w02 11/1 20-25

Tumebarikiwa Sana kwa Kujidhabihu Katika Mambo Madogo: w04 4/1 24-28

‘Tumefanya Lile Tulilopaswa Kufanya’: w98 8/1 19-24

Tunaazimia Kutimiza Huduma Yetu: w07 6/1 16-20

Uradhi wa Kimungu Umenitegemeza: w04 3/1 22-27

Uvumilivu Huleta Shangwe: w06 7/1 8-12

Wakutana kwa Njia ya Pekee Baada ya Miaka 30: g02 10/22 21-24

Yehova Alithibitika Kuwa Pamoja Nami: w96 6/1 20-24

Yehova Amekuwa Jabali Langu: w99 9/1 25-29

Yehova Amekuwa Kimbilio Langu: w96 12/1 24-28

Yehova Amenipa “Nguvu Ipitayo Iliyo ya Kawaida”: w02 1/1 23-28

Yehova Hutenda kwa Uaminifu-Mshikamanifu: w97 6/1 19-23

Yehova Huwapa Thawabu Kubwa Wale Wanaoishika Njia Yake: w05 8/1 16-20

Yehova Ni Mungu Anayenionyesha Fadhili-Upendo: w99 11/1 24-28

“Yehova Ni Nguvu Zangu”: w08 10/15 17-20

mifano: jv 284-291

kipofu: w05 11/1 8-12

kuacha kazi ili kuwa mtumishi wa wakati wote: w12 11/1 10-11; w11 5/15 12; w08 4/15 16, 24; w07 5/1 27; w07 8/1 30; w06 6/15 13; w06 8/1 28-29; w02 8/15 24

kudumisha shangwe: w97 9/15 21-24

kuwa mwenye kutosheka: w03 6/1 11

maelezo ya wanafunzi wa Shule ya Gileadi kuhusu uamuzi wao: w98 12/1 24

maisha rahisi (kutokazia mali maishani): w03 3/1 20-21

mama maskini amtia moyo mtoto wake awe mtumishi wa wakati wote: w06 1/1 12

mtu aliyepooza: w06 6/1 20

roho ya kujidhabihu: w05 11/15 8-9

ugonjwa wa mfumo wa neva: w06 6/1 13-14

vijana: w09 7/15 24-27; w08 4/15 16; w07 5/1 27; km 10/06 1; w02 8/15 24; w02 10/1 9-11; w00 11/1 19-20

vijana waliochagua utumishi wa wakati wote badala ya kufuatilia elimu ya juu: w10 4/15 5-6; jr 108-109; yb10 183; w09 9/15 21, 24; lv 180

wazazi: g 3/09 13-14; w03 3/1 19-22

mifano katika Biblia:

Timotheo: w10 6/15 11-12; w07 5/1 24-28

Yesu: w02 3/15 11-12

mtumishi wa wakati wote anapokuwa mgonjwa: w97 9/15 22-23

ndugu wanatiwa moyo wawe watumishi wa wakati wote: w12 6/15 23-24; w12 10/15 21; w04 6/1 17-19; km 5/99 8

vijana: w12 6/15 23; w10 6/15 11-12; yp2 313, 315-316; g 7/06 23-25; w05 9/15 24-25; km 4/02 4; w00 11/1 18-21; w99 11/15 20

wazazi wanavyoweza kuwatia watoto moyo: w05 9/15 24; km 4/02 4; km 6/01 5

riziki: jv 284-286

Paulo ni mfano wa kuigwa: bt 148-150

si wajibu wa wazazi kuwaruzuku: w97 8/15 20

watumishi wa pekee wa wakati wote: w05 11/1 30

shangwe katika utumishi wa wakati wote: w97 9/15 21-24

utumishi wa wakati wote wa aina mbalimbali: yp2 313, 315; w07 10/1 24; g 7/06 24-25

wanathamini utumishi wa wakati wote: w05 3/15 13-14, 20

wanawake: km 2/00 1

watumishi wa wakati wote wanafananishwa na Wanadhiri: w04 8/1 24-25

watumishi wa wakati wote watiwa moyo kuendelea: w97 9/15 21-24

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki