JESHI, KUJIUNGA NA
(Ona pia Askari-Jeshi; Jeshi; Jeshi [Kutojiunga na Jeshi kwa Sababu ya Dhamiri]; Kutounga Mkono Siasa au Vita)
kiasi cha pesa ambacho serikali zinatumia kwa ajili ya jeshi: g 4/10 30; w07 8/15 23; g 1/06 20
baada ya Vita Baridi: g96 4/22 4; g96 11/8 29
mambo yaliyoonwa:
askari wa NATO katika magari ya vita: w99 4/1 8
Mashahidi walikataa ijapokuwa walihukumiwa kifo: g03 3/8 31
mpiga-zumari katika bendi ya jeshi la angani la Idi Amin (Uganda): w06 6/15 10
msaidizi wa kamanda wa jeshi la wanahewa: g98 4/22 31
maoni ya Biblia: lv 53; rs 135-136; w96 5/1 17, 19
maoni ya dini zinazodai kuwa za Kikristo: w12 3/1 5; yb07 112-113; w06 3/1 6; w96 5/1 17
maoni ya Mashahidi: yb07 113; w96 5/1 17, 19
utumishi wa badala: lv 214-215; w98 8/15 17; w96 5/1 19-20
masimulizi ya maisha:
Jinsi Nilivyoacha Kupenda Vita: g 12/09 24-27
Jinsi Nilivyoacha Kuwa Mwenye Jeuri: g 4/11 21-23
Kilichonifanya Nivutiwe na Mashahidi wa Yehova: g 3/10 12-15
Kutoka Kuwa Shujaa wa Vita Hadi Kuwa Askari-Jeshi wa Kristo: g98 12/22 12-15
Nilikuwa Kamanda wa Jeshi Sasa Mimi Ni “Askari-Jeshi wa Kristo”: g 2/08 12-15
Wakristo wa mapema: w12 3/1 5; g 11/09 11; lv 52; w05 3/15 6-7; rs 136-137; g02 5/8 21; w98 12/1 6; g98 10/22 6; jv 192, 673; g97 5/8 23; w96 5/1 17
watoto jeshini: g02 2/22 28; g02 11/8 28; g99 3/22 29; g99 4/8 3-4; g99 11/22 29; g97 5/8 28; g97 10/22 4-6
Maeneo Mbalimbali
Afrika Kusini:
haki ya Mashahidi ya kukataa kujiunga na jeshi yafutiliwa mbali: yb07 109, 111-113, 118
makanisa yalikuwa na misimamo tofauti-tofauti: yb07 112-113
Argentina:
Mashahidi hawalazimishwi kujiunga na jeshi: jv 194
Shahidi aliyefungwa kwa sababu ya kukataa kujiunga na jeshi aondolewa hatia (2007): yb08 18
Armenia:
msimamo wa Mashahidi wa kutounga mkono upande wowote: w12 8/15 17; w12 11/1 29-31; yb12 34-35; yb11 21; yb10 17; yb08 18-19; yb06 11, 14; yb04 18
utumishi badala: w12 11/1 31; yb08 18
Belarus:
serikali yakusudia kutunga sheria kuhusu utumishi wa badala (2010): yb11 22-23
Finland:
Mashahidi hawalazimishwi kujiunga na jeshi: jv 194
Hispania:
Shahidi auawa kwa sababu ya kukataa kujiunga na jeshi (1937): g03 3/8 31
Israeli (la kale): cl 135
Korea (Kusini), Jamhuri ya:
haki ya kukataa kujiunga na jeshi kwa sababu ya dhamiri yatetewa: yb10 22; yb08 17-18; g 12/08 14-15; g 6/06 30
Mashahidi hawajatengwa na utumishi wa jeshi: yb12 36-37; yb09 23-24; yb05 15
Marekani:
Mashahidi wakati wa Vita vya Pili vya Ulimwengu: jv 194
Poland:
Mashahidi hawalazimishwi kujiandikisha jeshini: jv 194
Singapore:
Mashahidi wapigwa marufuku kwa sababu ya kukataa kujiunga na jeshi (1972- ): g97 6/8 22-23
Sweden:
Mashahidi hawalazimishwi kujiandikisha jeshini: jv 194
Taiwan:
Mashahidi waliofungwa waachiliwa (2000): g01 9/8 28
Turkmenistan:
Mashahidi wahukumiwa kwa sababu ya kukataa kujiunga na jeshi: yb08 21
Mashahidi waliofungwa waachiliwa (2005): yb06 16
Ugiriki:
Baraza la Serikali lawatetea Mashahidi wasiojiunga na jeshi kwa sababu ya dhamiri (2008, 2010): yb11 24-25; yb09 22-23
Mahakama ya Ulaya ya Haki za Kibinadamu yawatetea Mashahidi (1997): g98 1/8 19-23
Uholanzi:
Mashahidi hawalazimishwi kujiandikisha jeshini: jv 194
Uingereza:
Mashahidi wakati wa Vita vya Pili vya Ulimwengu: jv 194
Uturuki:
Mashahidi watozwa faini tena na tena: yb07 26