Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w13 2/1 uku. 16
  • Majibu ya Maswali ya Biblia

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Majibu ya Maswali ya Biblia
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Habari Zinazolingana
  • Je, Mungu Alimuumba Ibilisi Ili Atujaribu?
    Maswali ya Biblia Yajibiwa
  • Adui wa Uzima wa Milele
    Unaweza Kuishi Milele Katika Paradiso Duniani
  • Biblia Inasema Nini?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Toleo la Watu wote)—2016
  • ‘Mpinge Ibilisi’ Kama Yesu Alivyofanya
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2008
Pata Habari Zaidi
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
w13 2/1 uku. 16

Majibu ya Maswali ya Biblia

Ibilisi alitoka wapi?

Mungu hakumuumba Ibilisi. Badala yake, Mungu alimuumba malaika ambaye baadaye aligeuka na kuwa Ibilisi, pia anayeitwa Shetani. Yesu alionyesha kwamba wakati fulani Ibilisi alikuwa mnyoofu na asiye na hatia. Hivyo basi, mwanzoni Ibilisi alikuwa malaika, mwana mkamilifu wa Mungu.—Soma Yohana 8:44.

Malaika angegeukaje na kuwa Ibilisi?

[Picha katika ukurasa wa 16]

Malaika aliyegeuka na kuwa Ibilisi aliamua kumpinga Mungu na akawashawishi wanadamu wawili wa kwanza wajiunge naye. Alijifanya mwenyewe kuwa Shetani, jina linalomaanisha “Mpinzani.”—Soma Mwanzo 3:1-5; Ufunuo 12:9.

Kama viumbe wengine wa Mungu wenye akili, malaika aliyegeuka na kuwa Ibilisi alikuwa na uhuru wa kuchagua kufanya mema au mabaya, lakini alisitawisha tamaa ya kuabudiwa. Alitamani sana kupata utukufu kuliko kumpendeza Mungu.—Soma Mathayo 4:8, 9; Yakobo 1:13, 14.

Ibilisi ameendeleaje kuwashawishi wanadamu? Je, unapaswa kumwogopa? Unaweza kupata majibu ya maswali hayo katika Biblia.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki