Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w13 7/1 uku. 16
  • Majibu ya Maswali ya Biblia

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Majibu ya Maswali ya Biblia
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Habari Zinazolingana
  • Fidia​—Zawadi Bora Kutoka kwa Mungu
    Biblia Inatufundisha Nini?
  • Magonjwa na Kifo—Sababu Gani?
    Furaha​—Namna ya Kuipata
  • Yesu Kristo Ni Nani?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • Yesu Kristo Ni Nani?
    Habari Njema Kutoka kwa Mungu!
Pata Habari Zaidi
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
w13 7/1 uku. 16

Majibu ya Maswali ya Biblia

Je, inawezekana kuishi milele?

[Picha katika ukurasa wa 16]

Ni nini kinachoweza kutuweka huru kutokana na kifo?

Mwanadamu wa kwanza, Adamu, aliishi karne nyingi. Lakini baadaye alizeeka na kufa. Tangu wakati huo, watu wamejaribu njia mbalimbali za kuzuia kuzeeka. Lakini hakuna mtu ambaye amefaulu kuepuka kifo. Kwa nini? Adamu alizeeka na kufa kwa sababu alitenda dhambi kwa kutomtii Mungu. Tunazeeka kwa sababu tumerithi dhambi na kifo kutoka kwa Adamu.​—Soma Mwanzo 5:5; Waroma 5:12.

Ili tuishi milele, tunahitaji mtu wa kutulipia fidia. (Ayubu 33:24, 25) Fidia ni malipo yanayotolewa ili kumweka mtu huru, na sisi tunahitaji kuwekwa huru kutokana na kifo. (Kutoka 21:29, 30) Yesu alilipa fidia hiyo alipokufa kwa ajili yetu.​—Soma Yohana 3:16.

Tunawezaje kupata uzima wa milele?

Si kila mtu atakayewekwa huru kutokana na magonjwa na kuzeeka. Basi, wale wasiomtii Mungu kama Adamu alivyofanya, hawatapata uzima wa milele. Watu watakaosamehewa dhambi zao ndio watakaofurahia kuishi milele.​—Soma Isaya 33:24; 35:3-6.

Lazima tuchukue hatua fulani ili tusamehewe. Tunapaswa kumjua Mungu kwa kujifunza Biblia, Neno lake. Biblia inatufundisha jinsi ya kuwa na maisha yenye furaha na pia jinsi ya kupata kibali cha Mungu na uzima wa milele.​—Soma Yohana 17:3; Matendo 3:19.

Kwa habari zaidi, ona sura ya 3 ya kitabu hiki, Biblia Inafundisha Nini Hasa? kilichochapishwa na Mashahidi wa Yehova

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki