Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 8/12 uku. 3
  • Pitio la Shule ya Huduma ya Kitheokrasi

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Pitio la Shule ya Huduma ya Kitheokrasi
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2012
Huduma Yetu ya Ufalme—2012
km 8/12 uku. 3

Pitio la Shule ya Huduma ya Kitheokrasi

Maswali yafuatayo yatazungumziwa katika juma linaloanza Agosti 27, 2012. Tarehe ya kuzungumzia kila sehemu imeonyeshwa pia.

1. Njozi ya Ezekieli kuhusu taifa la Yuda lililoasi imani inawakilisha nini, na tunajifunza somo gani muhimu? (Eze. 8:​15-17) [Julai 2, w07 7/1 uku. 13 fu. 6; w93 1/15 uku. 27-28 fu. 7, 12]

2. Ni katika njia gani viongozi wengi wa kidini wanawaiga manabii wa uwongo wa siku za Ezekieli? (Eze. 13:​3, 7) [Julai 9, w99 10/1 uku. 13 fu. 14-15]

3. Katika unabii uliorekodiwa kwenye Ezekieli 17:​22-24, ni nani aliye “kitawi kichanga,”na “mlima mrefu na ulio juu sana” ambapo atapandikizwa ni nini, na atakuwa “mwerezi mkubwa” kwa njia gani? [Julai 16, w07 7/1 uku. 12-13 fu. 6]

4. Kulingana na neno la kimethali linalotajwa kwenye Ezekieli 18:​2, watu waliokuwa uhamishoni pamoja na Ezekieli walimlaumu nani kwa kuteseka kwao, na tunaweza kujifunza jambo gani muhimu kutokana na simulizi hilo? [Julai 23, w88 9/15 uku. 18 fu. 10]

5. Tukio lililoandikwa kwenye Ezekieli 21:​18-22 linaonyeshaje kwamba wala wanadamu wala roho waovu hawawezi kubadili kusudi la Yehova? [Julai 30, w07 7/1 uku. 14 fu. 4]

6. Kama ilivyorekodiwa kwenye Ezekieli 24:​6, 11, 12, kutu ya chungu cha kupikia inafananisha nini, na tunapata kanuni gani katika mstari wa 14? [Ago. 6, w07 7/1 uku. 14 fu. 2]

7. Unabii dhidi ya jiji la Tiro ulitimiaje? [Ago. 6, it-1 uku. 70, sanduku; si uku. 133 fu. 4]

8. Ni semi gani zilizoandikwa kwenye Ezekieli 28:​2, 12-17 zinazomhusu “mfalme wa Tiro” na vilevile Shetani, yule msaliti wa kwanza? [Ago. 13, w05 10/15 uku. 23-24 fu. 10-14; it-2 uku. 604 fu. 4-5]

9. Misri ilifanywa ukiwa kwa miaka 40 wakati gani, na tuna msingi gani wa kuamini kwamba ukiwa huo ulitukia? (Eze. 29:​8-12) [Ago. 13, w07 8/1 uku. 8 fu. 5]

10. Ezekieli alishughulikiaje kutojali kwa watu, dhihaka, na watu kukosa kumsikiliza, na Yehova alimpa uhakikisho gani? (Eze. 33:31 - 33) [Ago. 20, w91 3/15 uku. 17 fu. 16-17]

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki