Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 10/13 uku. 3
  • Pitio la Shule ya Huduma ya Kitheokrasi

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Pitio la Shule ya Huduma ya Kitheokrasi
  • Huduma ya Ufalme—2013
Huduma ya Ufalme—2013
km 10/13 uku. 3

Pitio la Shule ya Huduma ya Kitheokrasi

Maswali yafuatayo yatazungumziwa katika Shule ya Huduma ya Kitheokrasi juma linaloanza Oktoba 28, 2013.

1. Inamaanisha nini kuwa na “akili ya Kristo”? (1 Kor. 2:16) [Sept. 2, w08 7/15 uku. 27 fu. 7]

2. Ni katika njia gani ‘tunaukimbia uasherati’? (1 Kor. 6:18) [Sept. 2, w08 7/15 uku. 27 fu. 9; w04 2/15 uku. 12 fu. 9]

3. Mtume Paulo alimaanisha nini aliposema kwamba wanawake wanapaswa ‘kukaa kimya kutanikoni’? (1 Kor. 14:34) [Sept. 9, w12 9/1 uku. 9, sanduku]

4. Wazee wanaweza kujifunza nini kutokana na maneno ya Paulo yanayopatikana kwenye 2 Wakorintho 1:24? [Sept. 16, w13 1/15 uku. 27 fu. 2-3]

5. Maneno yanayopatikana kwenye 2 Wakorintho 9:7 yanaweza kutupa mwongozo gani? [Sept. 23, g 5/08 uku. 21, sanduku]

6.Tunaweza kufaidika jinsi gani kwa kufuata shauri la Paulo linalopatikana kwenye Wagalatia 6:4? [Sept. 30, w12 12/15 uku. 13 fu. 18]

7.Inamaanisha nini “kuushika umoja wa roho”? (Efe. 4:3) [Okt. 7, w12 7/15 uku. 28 fu. 7]

8.Paulo alihisije kuhusu vitu ambavyo alikuwa ameacha nyuma? (Flp. 3:8) [Okt. 14, w12 3/15 uku. 27 fu. 12]

9.Shauri hili: “Na tusiendelee kulala usingizi kama wengine” linamaanisha nini? (1 The. 5:6) [Okt. 21, w12 3/15 uku. 10 fu. 4]

10.Ni katika njia gani kifo cha Yesu ni “fidia inayolingana”? (1 Tim. 2:6) [Okt. 28, w11 6/15 uku. 13 fu. 11]

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki