Noa na familia yake wakijitayarisha kuingia ndani ya safina
Mapendekezo ya Kuanzisha Mazungumzo
●○○ ZIARA YA KWANZA
Swali: Jina la Mungu ni nani?
Andiko: Zb 83:18
Ziara inayofuata: Sifa kuu ya Yehova ni ipi?
○●○ ZIARA YA KURUDIA YA KWANZA
Swali: Sifa kuu ya Yehova ni ipi?
Andiko: 1Yo 4:8
Ziara inayofuata: Unawezaje kuwa rafiki ya Mungu?
○○● ZIARA YA KURUDIA YA PILI
Swali: Unawezaje kuwa rafiki ya Mungu?
Andiko: Yoh 17:3
Ziara inayofuata: Je, Yehova anatufunulia mambo yatakayotokea wakati ujao?