Yosefu alimtegemea Yehova alipokuwa gerezani huko Misri
Mapendekezo ya Kuanzisha Mazungumzo
●○○ ZIARA YA KWANZA
Swali: Je, wafu wanajua jambo lolote?
Andiko: Mhu 9:5a
Ziara Inayofuata: Je, kifo ndio mwisho wa mambo yote?
○●○ ZIARA YA KURUDIA YA KWANZA
Swali: Je, kifo ndio mwisho wa mambo yote?
Andiko: Ayu 14:14, 15
Ziara Inayofuata: Maisha yatakuwaje Mungu atakapowafufua wapendwa wetu?
○○● ZIARA YA KURUDIA YA PILI
Swali: Maisha yatakuwaje Mungu atakapowafufua wapendwa wetu?
Andiko: Isa 32:18
Ziara inayofuata: Mungu ataletaje amani duniani?