Musa na Haruni wakifanya miujiza mbele ya Farao
Mapendekezo ya Kuanzisha Mazungumzo
●○ ZIARA YA KWANZA
Swali: Tunajuaje kwamba mateso tunayopata si adhabu kutoka kwa Mungu?
Andiko: Yak 1:13
Ziara Inayofuata: Kwa nini tunateseka?
○● ZIARA YA KURUDIA
Swali: Kwa nini tunateseka?
Andiko: 1Yo 5:19
Ziara Inayofuata: Mungu anahisije tunapoteseka?