Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • ijwbq makala 14
  • Je, Yesu Alikuwa Mtu Mzuri Tu?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Je, Yesu Alikuwa Mtu Mzuri Tu?
  • Maswali ya Biblia Yajibiwa
  • Vichwa vidogo
  • Habari Zinazolingana
  • Jibu la Biblia
  • Yesu—Mambo Ambayo Watu Wanasema Kumhusu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2008
  • Yule Mtu Mkuu Zaidi Aliyepata Kuishi
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1992
  • Je! Wewe Unatembea Katika Hatua za Mwokozi?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1986
  • Yesu Kristo Ni Nani?
    Amkeni!—2005
Pata Habari Zaidi
Maswali ya Biblia Yajibiwa
ijwbq makala 14
Yesu afanya mambo mazuri, amponya mwanamume

Je, Yesu Alikuwa Mtu Mzuri Tu?

Jibu la Biblia

Yesu hakuwa mtu mzuri tu. Jambo moja la hakika ni kwamba amethibitika kuwa mtu mwenye ushawishi mkubwa zaidi katika historia ya wanadamu. Ona mambo ambayo wanahistoria hawa na waandishi maarufu wamesema kumhusu:

“Yesu wa Nazareti . . . bila shaka ndiye mtu mashuhuri zaidi katika historia.”—H. G. Wells, mwanahistoria Mwingereza.

“Maisha [ya Yesu] yamekuwa na uvutano mkubwa zaidi katika sayari hii na uvutano wake unazidi kuongezeka.”—Kenneth Scott Latourette, mwanahistoria na mwandishi Mmarekani.

Biblia inaonyesha ni kwa nini Yesu amekuwa na ushawishi mkubwa zaidi kuliko mtu mwingine yeyote mzuri ambaye amewahi kuishi. Yesu alipowauliza wafuasi wake wa karibu zaidi walifikiri yeye ni nani, mmoja wao alijibu hivi kwa usahihi: “Wewe ndiye Kristo, Mwana wa Mungu aliye hai.”—Mathayo 16:16.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki