BIBLIOTEKE YA KU ENTERNETE Watchtower
Watchtower
BIBLIOTEKE YA KU ENTERNETE
Swahili (Katanga)
  • BIBLE
  • BITABU
  • MA RENION
  • T-36 pp. 1-4
  • Ufalme wa Mungu njo nini?

Akuna video nju ya iyi selection.

Pardon, kurikuwa erreur mu chargement ya video.

  • Ufalme wa Mungu njo nini?
  • Ufalme wa Mungu njo nini?
  • Ya kufanana na iyi
  • Unawaza maisha itakuwa je uku ku mbele?
    Unawaza maisha itakuwa je uku ku mbele?
  • Dunia iko mu mikono ya nani?
    Dunia iko mu mikono ya nani?
  • Bafu batafufukaka?
    Bafu batafufukaka?
  • Mateso itaishaka?
    Mateso itaishaka?
Ona bya mingi
Ufalme wa Mungu njo nini?
T-36 pp. 1-4
Bantu ba kutoka ma fashi ya kuachana-achana beko naomba ufalme wa Mungu ikuye

Ufalme wa Mungu njo nini?

Unawaza ni . . .

  • mapendo ya Mungu mu roo ya bantu?

  • ni ndoto tu?

  • ao ni guvernema ile iko ku mbingu?

SHIKIA VILE BIBLE INASEMA

“Mungu wa ku mbingu ataleta ufalme ile abatalabishaka ata shiku moya.”​—Danieli 2:44, Tradiksion ya dunia ya sasa.

“Banatupachia mutoto na guvernema itakuwa pa mabeka yake.”​—Isaya 9:6; mafasirio ya chini.

KUYUWA VILE KUTAKUSAIDIA JE?

  • Kutakusaidia uyuwe kama kuko guvernema ile itakuletea mambo ya muzuri.​—Isaya 48:17, 18.

  • Kutakusaidia uyuwe kama mu dunia ya sasa ile iko nakuya, utakuwa na maisha ya muzuri sana na ya furaa.​—Ufunuo 21:3, 4.

Bantu banekala pamoya na beko nafuraia maisha mu paradi ku dunia saa ufalme wa Mungu iko natawala

ILE MAMBO BIBLE INASEMA NI YA BYA KWERI TU?

Ni ya bya kweri, nju:

  • Yesu arioneshaka mambo ile ufalme wa Mungu itafanya. Yesu arifundishaka banafunzi yake baombe ufalme wa Mungu ikuye na mapenzi yake ifanshike apa pa dunia. (Matayo 6:9, 10) Yesu arioneshaka vile Mungu atajibu ile sala.

    Pale arikuwa pa dunia, Yesu aripachiaka byakurya bale barikuwaka na njala, ariponeshaka ba malari, na arifufulaka bafu! (Matayo 15:29-38; Yohana 11:38-44) Vile Yesu njo atakuwa mufalme wa ufalme wa Mungu, mambo ile arifanyaka pale arikuwa pa dunia, inatonesha mambo ya mingi sana ile atafanya pale ufalme wa Mungu itanza kutawala pa dunia.​—Ufunuo 11:15.

  • Mambo ile tuko naona mu dunia leo inaonesha asema ufalme wa Mungu iko karibu. Yesu aritabiri kama mbele ufalme wa Mungu ikuye kuleta amani, mu iyi dunia muripashwa mbele kuyala mvita, njala, na ma tramblema de tere.​—Matayo 24:3, 7.

    Ile njo mambo tuko naona leo. Njo maana tunapashwa kuwa sire kama ufalme wa Mungu iko karibu kuya kwisha mateso yote.

WAZA MBELE

Ufalme wa Mungu iko natawala dunia ya muzuri sana

Maisha itakuwa je pale ufalme wa Mungu itanza kutawala?

Bible inajibu ile ulizo mu ZABURI 37:29 na mu ISAYA 65:21-23.

    Swahili (Katanga) Publications (2020-2026)
    Toka
    Ingia
    • Swahili (Katanga)
    • Partajé
    • Preferanse
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni ya kutumikisha
    • Règles de confidentialité
    • Paramètres de confidentialité
    • JW.ORG
    • Ingia
    Partajé