BIBLIOTEKE YA KU ENTERNETE Watchtower
Watchtower
BIBLIOTEKE YA KU ENTERNETE
Swahili (Katanga)
  • BIBLE
  • BITABU
  • MA RENION
  • T-32 pp. 1-4
  • Ni nini njo inaletaka furaa mu famiye?

Akuna video nju ya iyi selection.

Pardon, kurikuwa erreur mu chargement ya video.

  • Ni nini njo inaletaka furaa mu famiye?
  • Ni nini njo inaletaka furaa mu famiye?
  • Ya kufanana na iyi
  • Unawaza maisha itakuwa je uku ku mbele?
    Unawaza maisha itakuwa je uku ku mbele?
  • Mateso itaishaka?
    Mateso itaishaka?
  • Bafu batafufukaka?
    Bafu batafufukaka?
  • Unawaza Bible ni nini?
    Unawaza Bible ni nini?
Ona bya mingi
Ni nini njo inaletaka furaa mu famiye?
T-32 pp. 1-4

Ni nini njo inaletaka furaa mu famiye?

Unawaza ni . . .

  • mapendo?

  • makuta?

  • ao kintu kingine?

SHIKIA VILE BIBLE INASEMA

“Bale beko na furaa ni bale beko nashikia Sauti ya Mungu na kuitumikisha!”​—Luka 11:28, Tradiksion ya dunia ya sasa.

KUYUWA VILE KUTAKUSAIDIA JE?

Utapata mapendo ya bya kweri.​—Waefeso 5:28, 29.

Batakueshimia sana.​—Waefeso 5:33.

Utekala na salama.​—Marko 10:6-9.

Ma foto ya famiye ile iko na furaa: Mama na mutoto yake mwanamuke, bibi na bwana, bazazi na mutoto yabo mwanaume

ILE MAMBO BIBLE INASEMA NI YA BYA KWERI TU?

Ni ya bya kweri, nju:

  • Mungu njo arianzisha famiye. Bible inasema kama Jeova Mungu njo “arifanya ma famiye yote . . . ikuyeko.” (Waefeso 3:14, 15) Mu maneno ingine ni kusema, kama famiye ikwako, ni nju Mungu aripenda ikuyeko. Njo kusema nini?

    Waza kiloko: Kama uko nakurya byakurya bya butamu, na unapenda kuyuwa vile baribipika, utauliza nani? Kusema tu bya kweri, utauliza ule aribipika.

    Ni pamoya na famiye ile iko na furaa. Kama unapenda kuyuwa kile kinaletaka furaa mu famiye, itakuwa muzuri umulize Jeova, nju yeye njo arianzishaka ma famiye.​—Mwanzo 2:18-24.

  • Mungu anakuangaikiaka. Itakuwa muzuri kama ma famiye inatafuta mashauri ya Jeova ile iko mu Sauti yake. Nju ya nini? ‘Nju anatuangaikiaka.’ (1 Petro 5:6, 7) Jeova anapenda tukuwe na maisha ya muzuri sana, na mashauri yake inaletaka tu baraka kama tunaifwata!​—Mezali 3:5, 6; Isaya 48:17, 18.

WAZA MBELE

Muzee Mukristo eko nashauria bibi na bwana bale banatokea tu kuoana; bote beko nasoma Bible

Unezi kufanya nini nju ukuwe bwana muzuri, bibi muzuri, ao muzazi muzuri?

Bible inajibu ile ulizo mu WAEFESO 5:1, 2 na mu WAKOLOSAI 3:18-21.

    Swahili (Katanga) Publications (2020-2026)
    Toka
    Ingia
    • Swahili (Katanga)
    • Partajé
    • Preferanse
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni ya kutumikisha
    • Règles de confidentialité
    • Paramètres de confidentialité
    • JW.ORG
    • Ingia
    Partajé