-
Hesabu 18:2, 3Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
2 Pia uwalete karibu ndugu zako wa kabila la Lawi, kabila la mababu zako, ili wajiunge na wewe+ na kukutumikia wewe na wana wako mbele ya hema ya Ushuhuda.+ 3 Wanapaswa kutimiza madaraka yao kukuelekea na kuelekea hema yote.+ Lakini, hawapaswe kukaribia vyombo vya mahali patakatifu na mazabahu, kusudi ninyi pamoja nao musikufe.+
-
-
1 Mambo ya Nyakati 23:32Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
32 Walitimiza pia madaraka yao kuelekea hema ya mukutano, kuelekea mahali patakatifu, na kuelekea ndugu zao wana wa Haruni kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya Yehova.
-