Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 4:15
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 15 “Haruni na wana wake wanapaswa kumaliza kufunika mahali patakatifu+ na vifaa vyote vya mahali patakatifu wakati kambi itaondoka. Kisha wana wa Kohati wataingia ili kuvibeba,+ lakini hawapaswe kugusa mahali patakatifu ili wasikufe.+ Vitu hivyo ni daraka la* wana wa Kohati kuhusiana na hema ya mukutano.

  • Hesabu 4:20
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 20 Hawapaswe kuingia na kuona vitu vitakatifu hata kwa wakati kidogo, ili wasikufe.”+

  • Hesabu 16:39, 40
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 39 Kwa hiyo Eleazari kuhani akakamata vyetezo vya shaba vyenye vililetwa na wale wenye walikuwa wameteketezwa kwa moto, na akavipiga-piga ili vifunike mazabahu, 40 kama vile Yehova alikuwa amemuambia kupitia Musa. Hilo lilikumbusha Waisraeli kwamba mutu yeyote mwenye haruhusiwe* mwenye haiko muzao wa Haruni hapaswe kukaribia ili kuchoma uvumba mbele ya Yehova+ na kwamba mutu yeyote hapaswe kuwa kama Kora na wale wenye walimuunga mukono.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine