Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 26:55
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 55 Lakini, inchi itagawanywa kwa kura.+ Watu watapokea uriti wao kulingana na majina ya makabila ya baba zao.

  • Hesabu 33:54
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 54 Munapaswa kugawanya inchi hiyo kwa kura+ ili kuwa uriti kati ya familia zenu. Kwa kikundi kikubwa mutaongeza uriti wake, na kwa kikundi kidogo mutapunguza uriti wake.+ Uriti wa kila mutu utakuwa mahali kwenye kura yake itaangukia. Mutapokea uriti wenu wa inchi kulingana na makabila ya baba zenu.+

  • Yoshua 14:2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 2 Uriti wao ulikuwa kwa kura,+ kama vile Yehova alikuwa ameamuru kupitia Musa kwa ajili ya yale makabila kenda (9) na nusu.+

  • Yoshua 18:6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 6 Sasa ninyi, muchape karte ya inchi katika mafungu saba (7), na kuniletea mafungu hayo, na nitawapigia kura+ mbele ya Yehova Mungu wetu.

  • Mezali 16:33
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 33 Kura inapigwa katika sehemu ya nguo yenye kufunika mapaja,+

      Lakini kila uamuzi wenye unafanywa kwa kura hiyo unatoka kwa Yehova.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine