30 Hakuna mutu kati yenu mwenye ataingia katika inchi yenye niliapa* kwamba mutaishi ndani yake+ isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Yoshua mwana wa Nuni.+
65 Kwa maana Yehova alikuwa amesema kuwahusu: “Hakika watakufa katika jangwa.”+ Kwa hiyo hakuna mutu hata mumoja kati yao mwenye alibakia isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Yoshua mwana wa Nuni.+