-
Hesabu 26:55Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
55 Lakini, inchi itagawanywa kwa kura.+ Watu watapokea uriti wao kulingana na majina ya makabila ya baba zao.
-
-
Hesabu 33:54Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
54 Munapaswa kugawanya inchi hiyo kwa kura+ ili kuwa uriti kati ya familia zenu. Kwa kikundi kikubwa mutaongeza uriti wake, na kwa kikundi kidogo mutapunguza uriti wake.+ Uriti wa kila mutu utakuwa mahali kwenye kura yake itaangukia. Mutapokea uriti wenu wa inchi kulingana na makabila ya baba zenu.+
-