Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 27:1-7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 27 Kisha mabinti wa Selofehadi,+ mwana wa Heferi, mwana wa Gileadi, mwana wa Makiri, mwana wa Manase, wa familia za Manase mwana wa Yosefu, wakakaribia. Majina ya mabinti hao yalikuwa Mala, Noa, Hogla, Milka, na Tirsa. 2 Wakasimama mbele ya Musa, mbele ya Eleazari kuhani, mbele ya wakubwa,+ na mbele ya mukusanyiko wote kwenye muingilio wa hema ya mukutano na wakasema: 3 “Baba yetu alikufa katika jangwa, lakini hakukuwa katika kikundi chenye kilijiunga pamoja ili kumupinga Yehova, watu wenye walimuunga Kora mukono,+ lakini alikufa kwa sababu ya zambi yake mwenyewe na hakukuwa na mutoto yeyote mwanaume. 4 Sababu gani jina la baba yetu lipotee katika familia yake kwa sababu hakukuwa na mutoto mwanaume? Utupatie uriti kati ya ndugu za baba yetu.” 5 Kwa hiyo Musa akapeleka jambo lao mbele ya Yehova.+

      6 Kisha Yehova akamuambia Musa hivi: 7 “Mabinti wa Selofehadi wanasema kweli. Unapaswa kabisa kuwapatia uriti kati ya ndugu za baba yao na kupitisha uriti wa baba yao kwao.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine