26 Kisha pigo hilo,+ Yehova akamuambia Musa na Eleazari mwana wa Haruni kuhani: 2 “Muhesabie mukusanyiko wote wa Waisraeli kuanzia miaka makumi mbili (20) na zaidi, kulingana na jamaa zao za upande wa baba, muhesabie wale wote wenye wanaweza kutumika katika jeshi katika Israeli.”+