Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 30:12
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 12 “Kila mara wakati unaandikisha na kuhesabia wana wa Israeli,+ kila mumoja wao anapaswa kumupatia Yehova bei ya ukombozi kwa ajili ya uzima wake* wakati anaandikishwa. Watafanya vile ili wasipatwe na pigo lolote wakati wanaandikishwa.

  • Kutoka 38:26
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 26 Nusu shekeli yenye ilitolewa na kila mutu ilikuwa nusu shekeli kulingana na shekeli ya kawaida ya mahali patakatifu,* ilitolewa na kila mwanaume mwenye alikuwa kati ya wale wenye waliandikishwa kuanzia miaka makumi mbili (20) na zaidi,+ wote walikuwa elfu mia sita na tatu na mia tano makumi tano (603 550).+

  • Hesabu 1:2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 2 “Muhesabie+ mukusanyiko wote wa Waisraeli,* kila mumoja wao* kulingana na familia yake, kulingana na jamaa zao za upande wa baba, kulingana na hesabu ya majina ya wanaume wote.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine