-
2 Mambo ya Nyakati 31:2Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
2 Kisha Hezekia akaweka makuhani katika vikundi vyao+ na Walawi katika vikundi vyao,+ kila mumoja kati ya makuhani na Walawi kwa ajili ya utumishi wao,+ kwa ajili ya matoleo ya kuteketezwa na zabihu za ushirika, ili kufanya utumishi na kutoa shukrani na sifa katika milango mikubwa ya viwanja vya* Yehova.+
-