19 Lakini Mungu akapiga na kuua watu wa Bet-shemeshi, kwa sababu walikuwa wameangalia Sanduku la Yehova. Alipiga na kuua elfu makumi tano na makumi saba (50 070) kati ya watu, na watu wakaanza kuomboleza kwa sababu Yehova alikuwa amewapiga na kuwaua kwa mauaji makubwa.+